Uncategorized

MBELGIJI WA YANGA ATAJA MITAMBO ILIYOCHANGIA UBINGWA SIMBA

admin July 27, 2020 10:47 am

LUC Eymael raia wa Ubelgiji,aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa Nyota wa Simba, Meddie Kagere na Francis Kahata ni miongoni mwa nguzo imara ambazo zimefanikisha mafanikio ya kikosi hicho kutwaa ubingwa.
 Wachezaji hao wamehusika kwenye jumla ya mabao 40 ya Simba kati ya 78 yaliyofungwa kwenye mechi 38.
Kagere raia wa Rwanda amefunga mabao 22 na pasi sita za mabao huku Kahata raia wa Kenya akiwa amefunga mabao manne na pasi nane za mabao.
Eymael ameliambia Championi Jumatatu kuwa:”Kagere na Kahata ni wachezaji wazuri ndani ya Simba kwani wamekuwa wakitimiza majukumu yao na huwa inakuwa ngumu pia kwa Simba kucheza bila 
hao hivyo kwenye mafanikio yao nao huwezi kuwaach Leo, Julai 27 Yanga imethibitisha kuachana na Eymael kutokana na vitendo vyake visivyo vya kiungwana hasa katika masuala ya ubaguzi.
MWINYI ZAHERA AIBUKA KWENYE SAKATA LA EYMAEL JEMBE LA KAZI SIMBA FITI KUIVAA NAMUNGO FAINALI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply