Yanga SC

VIDEO: KUMBE YANGA WALITUMIA MLANGO MWINGINE KUONDOKA KWA MKAPA

admin May 9, 2021 2:48 pm

MEI 8, 2021 ilibidi uchezwe mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Yanga, ila Yanga waligomea mabadiliko ya muda uliofanywa kabla ya mchezo huo ambao awali ulipangwa kuchezwa saa 11:00 Uwanja wa Mkapa ila Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) lilieleza kuwa utachezwa saa 1:00. Tazama namna Yanga walivyoondoka kwa kutumia mlango wa chumba cha mikutano ya Waandishi wa Habari.

 

KUYEYUKA KWA DABI, HAJI MANARA AOMBA MSAMAHA ARTETA BADO ANAAMINI KWAMBA ATAKUWA KIKOSINI HAPO MSIMU UJAO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply