epl

MANCHESTER UNITED HAIJAKATA TAMAA KUMPATA SANCHO

admin June 9, 2021 6:47 am


 KLABU ya Manchester United inayonolewa na Kocha Mkuu Ole Gunnar Solkjaer haijakata tamaa ya kupata saini ya nyota wa Borrusia Dortmund, Jadon Sancho.

Kocha wa United, Ole amesema kuwa anahitaji kusajili mshambuliaji mmoja katika usajili wake kwa ajili ya kuongeza nguvu kwa msimu ujao.

Taarifa ambayo imetolewa na gazeti la Dail Mail imeeleza kuwa United wamefungua tena majadiliano ya kumpata mshambuliaji huyo.

Dili la mshambuliaji huyo linatajwa kuwa pauni milioni 100 jambo ambalo limekuwa ni gumu kwa mabosi wa United kukubali kuziangusha zote mezani wakihitaji kupunguziwa mpaka milioni 80 pauni.

TSHISHIMBI AOMBA KURUDI KUKIPIGA YANGA ORODHA YA TIMU 50 BORA, SIMBA IPO NDANI 20 BORA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply