Home CAF LAANA YA KUMUACHA KISINDA NA CHAMA YAWATAFUNA BERKANE…WATEMESHWA UBINGWA WA CAF… CAFHabari za michezoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la Bongonews LAANA YA KUMUACHA KISINDA NA CHAMA YAWATAFUNA BERKANE…WATEMESHWA UBINGWA WA CAF… By admin - November 11, 2022 0 RS Berkane wameondoshwa kwenye Michuano ya Kombe la Shirikisho na klabu ya Tunisia US Monastir kwa Agg ya bao 1-0. Berkane ndiye bingwa mtetezi wa #CAFCC msimu uliopita wakitwaa kwa jumla ya Penati 5-4 dhidi ya Orlando Pirates. Mchezo wa jana wa raundi ya pili umemalizika kwa sare ya 0-0 huku wakipoteza wa mwanzo kwa bao 1-0 na kushindwa kufuzu hatua ya makundi.