Habari za Yanga
Habari za michezo

WAPINZANI WA YANGA LIGI YA MABINGWA KAZIKAZI HAINA KUPOA

Staff Desk November 12, 2023 1:19 pm

Wakati wananchi wakicheza mechi ya mwisho ya ligi Novemba 8 kisha watapumzika mpaka Novemba 24 kukipiga dhidi ya CR Belouizdad kwenye Makundi ya CAFCL.

Hali ni tofauti kutoka kwa Wapinzani wao CR Belouizdad ambao wao wataendelea kucheza michezo ya ligi kuu.

Jana Novemba 10 CR Belouizdad walicheza na wakapoteza 2-1 dhidi ya USM Alger. Mchezo mwingine wa ligi wanatarajiwa kucheza Novemba 14 vs Paradou ugenini.

Mchezo wa mwisho kabla ya kukutana na Yanga watacheza Novemba 19 vs JS KABYLIE siku 5 Kabla ya kuja kucheza na Yanga SC.

MWANUKE BYE BYE SIMBA SWALI GUMU AKIONDOKA TRY AGAIN ……… JE AJE NANI?

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply