Habari za michezo
KOCHA DODOMA JIJI ATIMKIA UARABUNI KISA KAMILI HIKI HAPA
Staff Desk
November 23, 2023
6:08 am
Makubaliano ya Pande zote mbili yamefikiwa baina ya kocha Mellis Medo na Uongozi wa klab ya Dodoma Jiji juu ya kuachana.
Taarifa za kuaminika zimethibitisha kuwa kocha Mellis Medo amepata klabu ya kufundisha yenye maslahi bora zaidi Uarabuni.
Kwasasa Dodoma Jiji ipo chini ya Kocha Msaidizi.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.