Habari za Yanga leo
Habari za michezo

KAMA UTANI ILA NDIO IVO ZIDANE WA BONGO KATEMWA HUKO

Staff Desk December 29, 2023 2:31 pm

Kiungo fundi wa Yanga, Pacome Zouzoua “zidane wa Bongo” ameachwa kwenye kikosi cha Mwisho cha Ivory Coast kitakacho shiriki michuano ya Africa Cup of nations.

Kiungo fundi wa Yanga, Pacome Zouzoua “zidane wa Bongo” ameachwa kwenye kikosi cha Mwisho cha Ivory Coast kitakacho shiriki michuano ya Africa Cup of nations. Ikumbukwe nyota huyo alitajwa kwenye kikosi cha awali cha Tembo hao kilicho jaa mastar kibao wa Ulaya lakini Mwisho wa siku hakufanikiwa kupita kwenye mchujo.

CHAMA,MUSONDA WAREJEA ZAMBIA….. ISHU IKO HIVI KIRAKA HUYU KUTOKA SIMBA KUTUA KAGERA SUGAR

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply