Habari za michezo
KAMA UTANI ILA NDIO IVO ZIDANE WA BONGO KATEMWA HUKO
Staff Desk
December 29, 2023
2:31 pm
Kiungo fundi wa Yanga, Pacome Zouzoua “zidane wa Bongo” ameachwa kwenye kikosi cha Mwisho cha Ivory Coast kitakacho shiriki michuano ya Africa Cup of nations.
Kiungo fundi wa Yanga, Pacome Zouzoua “zidane wa Bongo” ameachwa kwenye kikosi cha Mwisho cha Ivory Coast kitakacho shiriki michuano ya Africa Cup of nations. Ikumbukwe nyota huyo alitajwa kwenye kikosi cha awali cha Tembo hao kilicho jaa mastar kibao wa Ulaya lakini Mwisho wa siku hakufanikiwa kupita kwenye mchujo.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.