“Mchezaji hajakamilika, wakituchukulia kama malaika wanatuhukumu kwa sababu sisi ni binadamu. Tukikosea sio kwamba tunapenda, bali ni sehemu ya kazi yetu, tukikosea watu watuelekeze ili tuwe bora zaidi, na tukifanya vizuri watupongeze,” alisema.
Kabla ya kujiunga na JKT Tanzania, Maneno aliwahi kuzichezea TMA Stars ya Ligi ya Championship pamoja na Mlandege FC ya Ligi Kuu Zanzibar.