Latest Posts

Habari za Simba

UBAYA UBWELA WAZUA BALAA KWA WAPINZANI

Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa nado hawajafika hata robo ya ubaya ubwela ndani ya kikosi hicho hivyo…

HABARI ZA SIMBA-AHOUA

JEAN AHUOA ATUMA SALAM KWA WALIBYA

KIUNGO mshambuliaji wa Simba anayeongoza kwa asisti kwa sasa katika Ligi Kuu Bara, Jean Charles Ahoua amerejea tena uwanjani akiwa fiti kwa asilimia 100 tayari…

HABARI ZA USAJILI

MSUVA AFUNGUKA HATMA YAKE TAIFA STARS

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva, 30, ameeleza mikakati yake wakati akitua Jamhuri ya Iraq huko Asia Magharibi kwa ajili ya kujiunga timu yake…

HABARI ZA SIMBA-ABDI BANDA

SABABU ZILIZOMRUDISHA BANDA BAROKA

WIKIENDI hii beki wa zamani wa Richard Bays, Abdi Banda alitambulishwa Baroka ya Afrika Kusini alikoondoka miaka sita iliyopita. Banda kwa mara ya kwanza alijiunga…

habari za SIMBA NA YANGA

SIMBA NA YANGA NGOMA DROO KIMATAIFA

Katika kuhakikisha nyota wake wanaozitumikia timu za taifa wanaziwahi mechi zao za ugenini za mashindano ya klabu Afrika wiki ijayo, Yanga na Simba zimepanga utaratibu…

HABARI ZA SIMBA

SIMBA HAWATAKI KURUDIA MAKOSA HAYA MSIMU HUU.

WAKATI Mnyama akitarajia kushuka dimbani leo kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya JKT Tanzania, Uongozi wa klabu hiyo umesema hawatarudia makosa yaliyojitokeza misimu mitatu iliyopita.…