Latest Posts

HABARI ZA sIMBA

SIMBA KUSHUKA DIMBANI LEO…KUFUZU CAF

Timu ya wanawake kutoka Tanzania Simba Queens, inatarajiwa kushuka dimbani leo dhidi ya Kawempe Muslim FC kutoka nchini Uganda katika Uwanja wa Abebe Bekila, leo…

HABARI ZA SIMBA-MUTALE

SIMBA YASHUSHA HOFU…HATMA YA MUTALE

Hatma ya ukubwa wa jeraha la kiungo mshambuliaji wa Simba, Joshua Mutale kujulikana kesho baada ya kufanyiwa vipimo vya awali vya madaktari. Joshua alipata jeraha…

HABARI ZA SIMBA-FADLU

FADLLU DAVIDS ANATAKA KUWEKA REKODI CAF

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, amewaambia wanachama na mashabiki wa timu hiyo kuwa wawe na subira kidogo, kwani kikosi chake kinaelekea kwenye ubora anaouhitaji,…

MSEMAJI SIMBA AINGIA MATATANI..."YANGA NI KAMA MAITI TU WANAKUJA TUWAKAMUE

AHMED ALLY ATAMBA NA SIMBA YAKE

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa taratibu nyota wao wanazidi kuimarika kutokana na maandalizi mazuri ambayo wanayafanya chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Simba mchezo wa…