SUSU WA SIMBA NA YANGA AFUNGUKA UHUSIANO WAKE NA TIMU HIZO
MWANAMITINDO Susu Kollexion, anayefahamika kwa jina lake Subira Wahure ambaye mara nyingi huwa anawashangaza watu baada ya kuonekana akiwa amevalia jezi za Simba na Yanga,…
MWANAMITINDO Susu Kollexion, anayefahamika kwa jina lake Subira Wahure ambaye mara nyingi huwa anawashangaza watu baada ya kuonekana akiwa amevalia jezi za Simba na Yanga,…
WINGA wa Simba Mwenye Udambwi Udambwi Willy Onana, licha ya kulamba mkwanja mrefu akijiunga na Muaither SC ya Qatar msimu ujao, atacheza Ligi Daraja la…
ALIYEKUWA Kocha wa Simba msimu uliopita, Abdelhak Benchikha amekifuatilia kikosi kipya cha timu hiyo ya Msimbazi kisha kutoa neno, akiitabiria kufanya maajabu msimu wa 2024-2025.…
Mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga unatarajiwa kuwa na ushindani mkali kutokana na historia na rekodi za timu hizi. Rekodi zinaonyesha,…
MECHI ya msimu huu ya Ngao ya Jamii haswa Kariakoo Dabi ina msisimko wake kwani timu hizo zinakutana zikiwa na sura mpya, lakini cha kuzingatia…
Kariakoo Dabi Simba na Yanga hii ni mechi ya 17 kwa vigogo hivyo kukutana ndani ya Agosti katika mechi za mashindano yote, huku rekodi zikiibeba…
Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga, Miguel Gamondi amesema kuwa sio jambo la msingi sana kwake kuwajua wachezaji wapya wa Simba Sc, badala yake ameelekeza…
Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema mshambuliaji wa timu hiyo Kibu Denis bado hajafikia katika ubora anaouhitaji, hivyo amemwandalia programu maalum ya mazoezi. Kibu…
Katika mkutano wa waandishi wa habari ambao ulifanyika leo, Jumatano kwenye Uwanja wa Mkapa, Kocha Mkuu wa Yanga, Gamondi alikumbushiwa matokeo ya Ngao ya Jamii…
KIUNGO wa Yanga na MVP wa Ligi Kuu Bongo Msimu uliopita AZIZ KI amefunguka Kwa mara ya kwanza Sababu za yeye kubaki Yanga na kuzitupa…