ALIYEKUWA KOCHA YANGA… AJIPATA NAMUNGO
Baada ya Namungo kupata ushindi wa bao 1-0 juzi dhidi ya Tanzania Prisons, kocha mkuu wa timu hiyo Mkongomani aliyewahi kukinoa kikosi cha Yanga, Mwinyi…
Baada ya Namungo kupata ushindi wa bao 1-0 juzi dhidi ya Tanzania Prisons, kocha mkuu wa timu hiyo Mkongomani aliyewahi kukinoa kikosi cha Yanga, Mwinyi…
Kuna burudani fulani huwa inatokea Kiungo wa Boli Kapteni Kucho Awesu Awesu akiwa na mpira mguuni. Awesu Ali Awesu huwa analainisha sana mambo, simple tu…
Haya Mambo ya Man Of the Match Simba SC kwa Misimu mitatu mfululizo walikua wanazisikia kwenye bomba lakini Msimu huu, wanabeba kila Mechi. Hizi tuzo…
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga ambaye kwa sasa anacheza ndani ya FC Pyramids ya Misri Fiston Mayele, ameweka wazi kuwa mabosi wake wa zamani hao…
MTANZANIA, Said Khamis ‘Said Jr’ ambaye ni kiungo mshambuliaji amepata shavu la kusajiliwa Peshmarga Sulaymaniya SC inayoshiriki Ligi daraja la kwanza nchini Iraq akiungana na…
LIGI Kuu Bara inazidi kuchangamka ambapo kwa muda mrefu pale kileleni hujaiona Simba, Azam wala Yanga ikikaa. Fountain Gate na Singida Black Stars zimekuwa zikipishana.…
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally ameweka wazi kuwa bado kiwango cha Simba hakijafikia asilimia 100% inayotafutwa na Kocha Fadlu Davids.…
JUMAPILI ya kufosi kwa Yanga ya Muargentina Miguel Gamondi imejibu kwa kuibuka na ushindi mbele ya KMC mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Huu ni…
Klabu ya Simba imeshinda mchezo wake wa pili wakiwa ugenini kwa bao 0-1 dhidi ya wenyeji Dodoma Jiji. Katika mchezo huo uliotawaliwa kwa kasi kubwa…
Ni kama tu Simba kule kwenye eneo la mbele wanashindana kukosa nafasi za kufunga, Ateba nafasi tatu zote kashindwa kufunga, kwa aina ya “profile” na…