MANARA CHIMBA MKWALA…SIMBA ASILETE TIMU
Mhamasishaji wa Klabu ya Yanga SC, Haji Manara amesema Simba SC wasiende Uwanjani Agosti 08 katika pambano lao Ngao ya Jamii la kuashiria kufunguliwa kwa…
Mhamasishaji wa Klabu ya Yanga SC, Haji Manara amesema Simba SC wasiende Uwanjani Agosti 08 katika pambano lao Ngao ya Jamii la kuashiria kufunguliwa kwa…
MWAMBA wa Lusaka Clatous Chama, amefurahishwa na timu yake mpya (Yanga) kutwaa Kombe la Toyota na kuvaa medali ikiwa ni muda mfupi tu baada ya…
ITAKUMBUKWA Julai 9, 2022, ilikuwa siku ya kihistoria kwa mashabiki na wanachama wa Yanga baada ya kumchagua Injinia, Hersi Said kuwa rais wa klabu hiyo…
KOCHA Mkuu wa Simba Fadlu Davids ameelezea namna ambavyo anaumizwa na washambuliaji wa timu yake kutotumia nafasi, ambazo tiu inazitengeneza na kuzigeuza kuwa magoli. Licha…
MNYAMA Aisseh ana Balaa huyo. Wanafahamu kwamba wapinzani wao wa jadi, Yanga watakutana nao Agosti 8 kwenye Ngao ya Jamii, wakaamua kufanya sapraizi ambayo wanaamini…
WINGA wa Simba, Joshua Mutale kwa sasa anajiita Mwamba wa Zambia, kitu kilichowaibua baadhi ya mastaa wa zamani wa timu hiyo kumpa mbinu ya kufanya…
Mshambuliaji wa Kaizer Chiefs Ranga Chivaviro ambaye aliwahi kuwindwa na Yanga akachomoa dakika za mwisho, alisema Yanga iliwaweka kwenye wakati mgumu ambapo nidhamu yao wakati…
KOCHA Mkuu ambaye ametambulishwa hivi karibuni na Kaizer Chiefs, Nasredine Nabi amesema kuwa Yanga ina mabadiliko makubwa na chochote kinaweza kumkuta yoyote msimu ujao. Nabi…
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba Mzambia, Moses Phiri amejiunga na Power Dynamos FC ya Zambia kwa mkataba wa miaka miwili. Mshambuliaji huyo alikuwa akiichezea timu hiyo…
KIKOSI cha Simba jana usiku kilikuwa uwanjani kucheza mechi ya tatu ya kirafiki ikiwa kambini, jijini Ismailia, Misri huku mshambuliaji mpya wa kikosi hicho, Mganda…