DILI LA MAXI NA KAIZER…GAMONDI AINGILIA KATI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ni kama amefunga mjadala juu ya dili la Maxi Nzengeli anayetajwa kutakiwa na Kaizer Chiefs akisema hakuna mchezaji yeyote…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ni kama amefunga mjadala juu ya dili la Maxi Nzengeli anayetajwa kutakiwa na Kaizer Chiefs akisema hakuna mchezaji yeyote…
KOCHA wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Nasreddine Nabi amesema bado anaumia moyoni kumkosa kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’. Akizungumza akiwa Uturuki…
MWANACHAMA wa Mnyama Simba Agnes Malkiad maarufu Aggy Simba, amelalamikia kitendo cha Sekretarieti ya Klabu hiyo kumfungia kujihusisha na masuala yanohusu klabu hiyo akitaka afikishwe…
UONGOZI wa klabu ya Simba, ulitangaza kumrejesha Patrick Rweyemamu kwenye nafasi ya Meneja wa timu hiyo, huku mwenyewe akisema amerejea kusimamia nidhamu ndani ya timu…
SIKU moja baada ya uongozi wa Simba kutoa taarifa kwa umma juu ya utoro wa mchezaji wao, Kibu Denis, Meneja wa mchezaji huyo, Carlos Silyvester,…
Klabu ya Yanga imefanikiwa kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya TS Galaxy ya Ligi Kuu nchini Afrika Kusini kwenye mechi ya kirafiki…
MLINDA Mlango wa Simba, Ayoub Lakred huenda akakosa mchezo wa Ngao wa Jamii utakaoihusisha timu hiyo dhidi ya Yanga Agosti 8, mwaka huu kwenye Uwanja…
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema kitendo cha utovu wa nidhamu wa mshambuliaji wao, Kibu Denis kutokuwepo kambi hakutathiri…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF, limetoa orodha ya wachezaji wanaowania tuzo mbalimbali katika vinyang’anyilo tofauti, huku tuzo ya mchezaji bora wa Ligi kuu…
Kiungo mpya wa Simba, Jean Ahoua anafanya mabalaa tu huko Misri akipiga bao mbili kwenye mchezo wa kwanza wa kirafiki wa wekundu hao, na kocha…