MO DEWJI AMKATAA LOMALISA…AANZA NA LAKRED
MWEKEZAJI wa klabu ya Simba Mohammed Dewji, amezuia uwezekano wa beki Joyce Lomalisa kutua Msimbazi lakini amemuita kipa Ayoub Lakred kwa ajili ya mazungumzo nyumbani…
MWEKEZAJI wa klabu ya Simba Mohammed Dewji, amezuia uwezekano wa beki Joyce Lomalisa kutua Msimbazi lakini amemuita kipa Ayoub Lakred kwa ajili ya mazungumzo nyumbani…
YANGA wameamua kurudi nyuma kwanza kuangalia kuna ulazima gani wa kusajili kiungo mkabaji mzawa ikiwa kuna uwezekano wa kuendelea kubaki na Jonas Mkude na Zawadi…
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kwa mafanikio ambayo timu ya Yanga imeyapata anatamani kumshauri Gavana wa Benki Kuu (BoT) kuweka nembo ya klabu…
MKUTANO wa Dharula wa Wanachama wa Simba uliotakiwa kufanyika Jumamosi, Juni 15 katika ukumbi wa Gwambina umepigwa marufuku na Mamlaka za kiusalama. Jeshi la Polisi…
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, viwanja vitakavyotumika kwa michuano hiyo vitafungwa teknolojia inayomsaidia mwamuzi kufanya marejeo…
ZILIANZA kama tetesi, zikaja kama uvumi kuhusu ishu ya Kocha Mkuu wa Yanga Princess, Mzambia Charles Haalubono kuondoka kikosini hapo na kumpisha Edna Lema ‘Mourinho’.…
SIMBA SC wana jambo lao msimu huu, maafisa wa timu hiyo inaelezwa wametia timu Zambia kufuatilia saini ya winga wa Power Dynamos ambaye amekuwa na…
BECHEM United ya Ghana imepanga kumrejesha nyumbani winga wa Yanga, Augustine Okrah aliyeonekanakukosa nafasi ya kucheza chini ya kocha Miguel Gamondi. Imeripotiwa Waghana wamefungua milango…
AFISA Habari wa Simba SC Ahmed Ally amewatoa hofu wanachama na mashabiki kuwa watulivu na kuungana ili kutimiza malengo ya msimu ujao, baada ya Uongozi…
UNAMKUMBUKA PAR OMAR JOBE? Strika la Magoli aliyeshindwa kufanya maajabu ndani ya Mitaa ya Maimbazi, tangu atue Simba katika dirisha dogo. Mwenyekiti wa klabu ya…