SIMBA YATIA TIMU DAR LEO
WACHEZAJI wa Simba, benchi la ufundi pamoja na viongozi wamerejea leo Dar es Salaam wakitokea Mbeya walipokuwa na kazi ya kucheza mechi mbili za Ligi…
WACHEZAJI wa Simba, benchi la ufundi pamoja na viongozi wamerejea leo Dar es Salaam wakitokea Mbeya walipokuwa na kazi ya kucheza mechi mbili za Ligi…
UONGOZI wa JKT Tanzania umesema kuwa mpango mkubwa uliopo kwa sasa ni kupata matokeo chanya kwenye mechi zake zilizobaki ili kumaliza ligi ikiwa ndani ya…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amewapongeza Simba kwa kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya tatu mfululizo.Simba ilikamilisha hesabu za kuwa mabingwa…
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba, amesema kuwa kikubwa ambacho kinawabeba wachezaji wake kufanya vizuri ndani ya uwanja ikiwa ni pamoja na kufunga mabao ni…
INAELEZWA kuwa nafasi ya Kocha Mkuu wa Barcelona, Quique Setien ipo mashakani baada ya kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Celta Vigo Kwenye…
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa amegundua mbinu mpya ya kuwamaliza wapinzani wake Kagera Sugar ni kuwafunga mabao ya mapema ili kuwajengea wachezaji…
IHEFU FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza hesabu zake kubwa kwa sasa ni kuona inashinda mechi mbili zilizobaki ili kujihakikishia nafasi ya kushiriki Ligi Kuu…
BAADA ya jana, Juni 28 kulazimisha sare ya bila kufungana na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine, leo Simba…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu
MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela amesema kuwa Yanga ina mambo mengi ya kuyazungumza kuliko kumzungumzia mchezaji wao Bernard Morrison.Kumekuwa na mvutano kati ya Morrison…