SIMBA BINGWA, KOMBE LAO SASA NI LAO JUMLAJUMLA HESABU ZAO ZIPO HIVI
UWANJA wa Sokoine uliopo jijini Mbeya, leo kazi ni moja kwa Simba kucheza mbele ya wenyeji wao, Prisons huku wakiwa tayari ni mabingwa wa Ligi…
UWANJA wa Sokoine uliopo jijini Mbeya, leo kazi ni moja kwa Simba kucheza mbele ya wenyeji wao, Prisons huku wakiwa tayari ni mabingwa wa Ligi…
INAELEZWA kuwa sababu kubwa ya Yanga kukaa kikao kizito na Bernard Morrison, kwa zaidi ya saa tatu ni kukweka mambo sawa kutokana na suala lake…
UONGOZI wa Gwambina FC yenye maskani yake Mwanza umesema kuwa kupanda kwao Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2020/21 kumetokana na kujipanga vizuri tangu mwanzo…
MAMBO ni moto ndani ya klabu ya Simba kwa wakati huu ambao wanaonekana wazi kukaribia kuupokea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, huku Mwenyekiti wa…
BEKI wa zamani wa Machester United, Phil Neville amesema kuwa Manchester United inahitaji kuongeza beki mwingine ambaye ataongeza ulinzi kwenye kikosi hicho ambaye atakuwa na…
MASHABIKI wa timu ya Ndanda FC, jana, Juni 27, hawajaamini wanachokiona ndani ya Uwanja wa Taifa baada ya Yanga kupindua meza kibabe kwenye mchezo wa…
ADAM Oseja, kipa namba mbili wa Namungo FC amesema kuwa kikubwa ambacho kinaibeba timu hiyo ni ushirikiano pamoja na jitihada za wachezaji kupambana ndani ya…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili