FILAMU YA KOCHA WA YANGA EYMAEL KUTUA BONGO BALAA, MKWANJA MREFU WAKATIKA
IMEELEZWA kuwa gharama ambazo amezitumia Kocha Mkuu wa Yanga kwa ajili ya tiketi mpaka sasa licha ya kutotua nchini ni zaidi ya milioni 40 zimeyeyuka…
IMEELEZWA kuwa gharama ambazo amezitumia Kocha Mkuu wa Yanga kwa ajili ya tiketi mpaka sasa licha ya kutotua nchini ni zaidi ya milioni 40 zimeyeyuka…
ARISTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa hesabu zake kubwa kwa sasa ni kwenye mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbao…
IMEELEZWA kuwa Liverpool imeingia vitani na Klabu ya Manchester United kuitafuta saini ya winga mwili jumba, Adama Traore anayekipiga ndani ya Wolves. Vinara hao wa…
JEMBE la kazi ndani ya Klabu ya Simba, Clatous Chama anatarajiwa kutua Bongo muda wowote kuanzia sasa akitokea nchini Zambia.Chama alisepa Bongo baada ya Serikali…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Jumapili
CHARTOLN imechapwa mabao 6-0 na Arsenal kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa jana Uwanja wa Fly Emirates. Arsenal iliyo chini ya Kocha Mkuu, Mikel Arteta inaendelea na…
BAADA ya jana Azam FC kutoshana nguvu na Trasint Camp kwenye mchezo wa kirafiki sasa nguvu zote zinaelekezwa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi…
MCHEZO wa kirafiki uliochezwa leo Uwanja wa Azam Complex kati ya Azam FC ambao walikuwa wenyeji dhidi ya Transit Camp umekamilika kwa timu zote kutoshana…
KESHO ndani ya gazeti la SPOTIXTRA Jumapili usipange kukosa nakala yako