SHEVA AANZA KUREJEA KWENYE UBORA WAKE
KIUNGO mshambuliaji wa kikosi cha Simba, Miraji Athumani ‘Sheva’, ameonekana kuanza kurejea kwenye ubora wake akitokea kwenye maumivu ya misuli. Sheva yupo nje ya uwanja…
KIUNGO mshambuliaji wa kikosi cha Simba, Miraji Athumani ‘Sheva’, ameonekana kuanza kurejea kwenye ubora wake akitokea kwenye maumivu ya misuli. Sheva yupo nje ya uwanja…
YANGA inaelezwa kuwa ipo kwenye hesabu za kuboresha kikosi chake msimu ujao ambapo kuna nyota zaidi ya 10 wamewekwa kwenye rada kutua hapo msimu ujao.Nyota…
PATRICK Mafisango mchezaji wa zamani wa Simba na Azam FC tarehe kama ya leo alitangulia mbele za haki kwa kupata ajali.Timu zote mbili Azam na…
IMEFAHAMIKA kuwa wachezaji wote wa Simba uzito wao umepungua kwa kiasi kikubwa baada ya kufanyiwa vipimo na kugundulika kutokana na mazoezi mazito wanayoendelea kuyafanya. Wachezaji…
RAIS wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, amesema idadi ya wagonjwa wa Virusi vya Corona katika vituo vilivyotengwa imepungua sana, hivyo anaangalia wiki inayoanza kesho,…
WINGA wa zamani wa Barcelona, Trevor Sinclair amesema kuwa huenda kocha huyo akarejea ndani ya klabu hiyo.Guardiola yupo zake ndani ya Manchester City na aliinoa…
MABOSI wa Klabu ya Yanga wamechungulia mbali na kuona ligi inaweza kurejea hivi karibuni lakini bila ya kuwa na makocha wao wawili, Kocha Mkuu Luc…
INAELEZWA kuwa nyota wanne wa Klabu ya Yanga panga linawahusu msimu ujao kutokana na kushindwa kufiti ndani ya kikosi cha kwanza.Yanga iliyo chini ya Kocha…
LIGI Kuu ya nchini Ujerumani maarufu kama Bundesliga imerejea jana rasmi ambapo kazi ilianza kwa mechi sita kupigwa kwenye viwanja tofauti huku mamilioni ya mashabiki…
WACHEZAJI hawa watano wamekubali jumlajumla kutua ndani ya Klabu ya Simba kukipiga msimu ujao iwapo utaratibu utafuatwa:- Jemmy Mumbere yeye ni kiungo wa AS Vita…