MCHEZAJI HUYU SIMBA ALIKUWA ANAMPASUA KICHWA SVEN
SVEN Vandenbroec, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa miongoni mwa vitu ambavyo vilikuwa vinampasua kichwa ni kukosa huduma ya Miraj Athuman,’ Sheva’. Sheva alikuwa kwenye ubora…
SVEN Vandenbroec, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa miongoni mwa vitu ambavyo vilikuwa vinampasua kichwa ni kukosa huduma ya Miraj Athuman,’ Sheva’. Sheva alikuwa kwenye ubora…
PASCAL Wawa, beki kisiki wa Klabu ya Simba amesema kuwa anamuhofia Mungu ambaye ndiye anamuamini katika kila jambo. Wawa raia wa Ivory Coast anaiongoza safu…
PAUL Nonga nahodha wa Lipuli amesema kuwa kwa siku anapiga mazoezi mara mbili ili kulinda kipaji chake baada ya Ligi Kuu Bara kusimamishwa kutokana na…
ERASTO Nyoni, beki kiraka ndani ya Simba amewaomba watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona. Nyoni amesema kuwa kwa sasa ni muhimu kila…
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amesema kuwa mbali na kufuata program aliyopewa na Kocha Mkuu Luc Eymael anapenda kufanya zoezi la kukimbia ili kuwa…
BARAKA Majogoro, kiungo mwenye rasta kichwani anayekipiga Polisi Tanzania inaelezwa kuwa anawindwa na Simba amesema kuwa neno kubwa kwa watanzania ni kuchukua tahadhari dhidi ya…
TUISILA Kisinda winga anayekipiga ndani ya Klabu ya AS Vita ya Congo amesema kuwa amefanya mazungumzo na viongozi wa Yanga ambao wanahitaji kuipata saini yake.Winga…
ALMAS Kasongo, Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) amesema kuwa wanakwenda kuifanyia kazi kauli ya Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli.Jana, Aprili 3, Magufuli…
JONATHAN Nahimana, mlinda mlango wa KMC ambaye Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroek aliwahi kumsifu kuwa ni mlinda mlango makini ameingia kwenye rada za Azam…
DANI Olmo nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya RB Leipzig ya Ujerumani inatajwa kuwa anaweza kurejea ndani ya Klabu ya Barcelona.Mchezaji huyo mwenye miaka 21…