WACHEKA NA NYAVU NDANI YA LIGI KUU ENGLAND HAWA HAPA
LIGI Kuu England ikiwa imesimama kwa muda kupisha maambukizi zaidi ya Virusi vya Corona na inatarajiwa kurejea April 30 itategemea kutengamaa kwa hali.Hawa hapa ni…
LIGI Kuu England ikiwa imesimama kwa muda kupisha maambukizi zaidi ya Virusi vya Corona na inatarajiwa kurejea April 30 itategemea kutengamaa kwa hali.Hawa hapa ni…
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kutokana na tamko la Bodi ya Ligi Kuu Bara kuwa endapo Ligi Kuu Bara itarejea timu zitacheza…
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumatatu
BALAA kubwa huenda likawakumba baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba kutokana na kudaiwa kukiuka taratibu za klabu hiyo. Wachezaji hao ni Mnyarwanda, Meddie Kagere,…
HARUNA Niyonzima, Kiungo mshambuliaji wa Yanga amemshauri kiungo wa Simba Said Ndemla kutafuta changamoto mpya ili apate nafasi ya kucheza.Ndemla kwa sasa ndani ya Simba…
KIUNGO wa Mtibwa Sugar, Abdulhalim Humoud, ameweka bayana kuwa anajisikia furaha kusikia kuwa anahusishwa na kujiunga na Yanga kutokana na ukubwa wa timu hiyo hapa…
MEDDIE Kagere mshambuliaji wa Simba ndani ya kikosi cha Simba amepewa jukumu la kupiga penalti.Kwenye jumla ya mabao 19 ambayo Kagere amefunga kwenye Ligi Kuu…
JONAS Mkude, kiungo mkabaji ndani ya klabu ya Simba amesema kuwa watu wengi wanaomsema vibaya hawezi kuwazuia kwa kuwa wameamua kumwandama bila kujua kinachomsumbua.Mkude amesema…
LIGI Kuu Bara kwa sasa imesimama kutokana na kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona.Wachezaji wanaendelea kujifua kulingana na programu ambazo wamepewa na makocha wao ili…