MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa UKURASA wa nyuma Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa
MUONEKANO wa UKURASA wa nyuma Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa
CAFU, nyota wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil amesema kuwa Neymar Jr ni Habari nyingine kwa wachezaji wenye ujuzi wa kucheza mpira.Nyota huyo…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele gazeti la CHAMPIONI Ijumaa, nafasi ya kushinda ndinga mpya ni yako
ABDULAZIZ Makame kiungo wa Yanga inaelezwa kuwa amekana kwamba yeye sio mchezaji wa Yanga bali ni wa Majimaji kutokana na sauti inayosambaa kwenye mitandao ya…
MSHAMBULIAJI nyota wa Yanga, Bernard Morrison amekiri mwenyewe kwa mara ya kwanza kwamba kulikuwa na mazungumzo kwa ajili ya kujiunga na Simba. Morrison ameliambia Gazeti…
WACHEZAJI wa Simba wamejikuta wakiingia ndani ya mtego wa kocha mkuu wa timu hiyo, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, katika kipindi hiki ambacho Ligi Kuu Bara imesimama…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa suala la mchezaji wao Papy Tshishimbi kusepa ndani ya timu hiyo muda utaongea na atafurahia maisha akiwa ndani ya Klabu…
TIMU ya Chelsea imekubali kumpa ruhusa nyota wake Willian Borges Da Silva kurejea kuiona familia yake.Winga huyo raia wa Brazil aliomba ruhusa ya kurejea kwao…
KESHO ndani ya CHAMPIONI Ijumaa ni kiungo mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima ameanza kuandika makala yake mwenyewe pamoja na ishu nyingine zote muhimu. Pia ukipata nakala…