KAGERE ATAJA KINACHOMBEBA NDANI YA SIMBA
MEDDIE Kagere amesema kuwa kikubwa kinachompa nafasi ya kuendelea kufunga ndani ya kikosi chake cha Simba ni ushirikiano ambao anaupata kutoka kwa wachezaji wenzake.Kagere ni…
MEDDIE Kagere amesema kuwa kikubwa kinachompa nafasi ya kuendelea kufunga ndani ya kikosi chake cha Simba ni ushirikiano ambao anaupata kutoka kwa wachezaji wenzake.Kagere ni…
CIRO Immobile anayekipiga ndani ya Serie A, Ligi Kuu ya Italia amefunga jumla ya mabao 26 ndani akiwa ni kinara kwa utupiaji kwenye ligi hiyo.…
NAHODHA wa Yanga, Papy Tshishimbi amesema kuwa kilichowaponza kushindwa kupata ushindi mbele ya Polisi Tanzania Uwanja wa Ushirika ni ubovu wa Uwanja huo.Tshishimbi aliongoza kikosi…
AZAM FC leo ina kibarua cha kumenyana na Ndanda FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Nangwanda Sijaona.Azam FC iliyo chini ya…
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anaimani mshambuliaji wake David Molinga atafunga mabao mengi kwenye ligi. Molinga ni kinara ndani ya Yanga akiwa…
KOCHA Msaidizi wa Mbeya City,Mohamed Kijuso amesema kuwa timu yake ipo kwenye hali mbaya msimu huu kutokana na matokeo mabovu ambayo wanayapata jambo linalowafanya wapambane…
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa leo utapambana kupata matokeo mbele ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.Mtibwa…
MLINDA mlango wa Lipuli ya Iringa, Deogratius Munish ‘Dida’ anaingia kwenye rekodi ndani ya msimu wa 2019/20 kuwa mlinda mlango wa kwanza kupachika bao ndani…
NAMUNGO FC iliyo chini ya Hitimana Thiery jana ilishinda mabao 2-1 dhidi ya KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Majaliwa na…
KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema kuwa wachezaji wake hawakucheza vizuri kwenye mchezo wao wa jana dhidi ya Simba uliochezwa Uwanja wa Taifa.Simba…