TAMKO LA YANGA JUU YA SUALA LA KABWILI KUPEWA IST NA SIMBA
KLABU ya Yanga kupitia kwa Ofisa Habari wake, Hassan Bumbuli imekiri kuwa taratibu haziwaruhusu wachezaji kuzungumza na vyombo vya habari kuhusu masuala ya ndani ya…
KLABU ya Yanga kupitia kwa Ofisa Habari wake, Hassan Bumbuli imekiri kuwa taratibu haziwaruhusu wachezaji kuzungumza na vyombo vya habari kuhusu masuala ya ndani ya…
Alichokiandika Haji Manara kupitia ukurasa wake wa Instagram juu ya watani zake Yanga kuhusiana na uwakilishi katika mashindano ya kimataifa.
Kiungo mshambuliaji wa Yanga Bernard Morrison amesema anapofanya mbwembwe uwanjani halengi kuwadhihaki timu pinzani bali ni mahsusi kwa ajili ya kuwapa burudani mashabiki ambao wamelipa…
KOCHA wa Simba Sven Vandenbroeck amewasisitiza wachezaji wake kucheza kwa umoja ili kuendelea kupata ushindi utakaorudisha furaha kwa mashabiki na kutimiza malengo ya kutetea ubingwa…
MBWANA Samatta aingia Jumla kwenye kikosi cha kwanza, leo kuanza kuonyesha makeke dhidi ya Leicester City, mchezo wa Kombe la Carabao.
THOMAS Ulimwengu, mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya JS Saura ya Algeria yupo kwenye hatua za mwisho kutambulishwa ndani…
SERGIO Aguero,mshambuliaji wa Manchester City ameongeza urafiki na nyavu ambapo mpaka sasa ametupia jumla ya mabao 16 ndani ya Ligi Kuu England.Amecheza jumla ya dakika…
UONGOZI wa Simba leo umetoa tamko rasmi kuhusu suala la mchezaji wa Yanga, Ramadhan Kabwili, kudai kwamba aliahidiwa kupewa gari aina ya Toyota IST ili…