KISA SIMBA, GSM AFANYA KUFURU NYINGINE YANGA
Inaelezwa uongozi wa Yanga chini ya Mwenyekiti wa timu hiyo, Dk Mshindo Msolla, unatarajia kukutana na kiungo wake mshambuliaji, Mghana, Bernard Morrison kujadiliana ishu ya…
Inaelezwa uongozi wa Yanga chini ya Mwenyekiti wa timu hiyo, Dk Mshindo Msolla, unatarajia kukutana na kiungo wake mshambuliaji, Mghana, Bernard Morrison kujadiliana ishu ya…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael amesema amechukizwa na kitendo cha mshambuliaji wa timu hiyo, Ditram Nchimbi kwenda Misri kufanya majaribio huku akifanya udanganyifu…
Inaelezwa kuwa beki aliyewahi kuichezea Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ ameondoka kunako klabu yake ya LA Galaxy II ya Marekeni. Taarifa zinasema kuwa wakala wake Alex…
Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, amefunguka kuhusiana na mbwembwe alizozifanya mchezaji wake, Bernard Morrison wakati timu yake ilipocheza dhidi ya Tanzania Prisons.
UONGOZI wa azam FC umesema kuwa leo utaingia kwa tahadhari kubwa kumenyana na Friend Rangers kwenye mchezo wao wa Kombe la Shirikisho.Azam FC itashuka Uwanja…
BONDIA wa zamani hapa nchini Rashid Matumla ‘Snake Boy ‘ameweka wazi kuwa anatamani kuhamia Mkoa wa Manyara ili kuweza kuwanoa vizuri vijana wa mkoa huo…
Mshambxliaji mpya wa Yanga, Benard Morrison ndiye mchezaji gumzo zaidi kuliko wengine wote katika kikosi cha Yanga.Morisson ameifungia Yanga bao lake la kwanza la michuano…
Dakika 90 zimemalizika katika uwanja wa taifa kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0. Mechi hiyo iliyokuwa ya Kombe la Shirikisho, imeshuhudiwa mabao ya…
Kikosi cha Tanzania Prisons dhidi ya Yanga
Kikosi cha Yanga dhidi ya Tanzania Prisons 1-Metacha Mnata 2-Juma Abdul 3-Jaffary Mohamed 4-Lamine Moro 5-Said Juma Makapu 6-AbdulAziz Makame Bui 7-Deus Kaseke 8-Haruna Niyonzima…