MBELGIJI WA YANGA:KAGERA SUGAR BAHATI YAO WALITUOTEA, LEO USHINDI HALALI YETU
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa Kagera Sugar wamewaotea kuwachapa mabao 3-0 hivyo leo watawasha moto mbele ya Azam FC Uwanja wa Taifa.Eymael…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa Kagera Sugar wamewaotea kuwachapa mabao 3-0 hivyo leo watawasha moto mbele ya Azam FC Uwanja wa Taifa.Eymael…
Imefahamika kuwa, kiwango cha mishahara ya wachezaji na viongozi wa benchi la ufundi la Simba ni Sh Mil 350 ambapo kwa mwaka inakadiriwa kufi kia…
Imeelezwa kuwa wadhamini wa Yanga, Kampuni ya GSM imewabana viongozi wa klabu hiyo katika suala zima la utoaji fedha kuhakikisha fedha zote wanakabidhi wenyewe na…
KOCHA wa zamani wa Simba, Patrick Aussems amesema kuwa amesikia kelele za mashabiki wa timu hiyo wakishinikiza uongozi umrudishe kufundisha timu hiyo lakini kwa upande…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael raia wa Ubelgiji ametangaza kwamba ataikimbia Ligi Kuu ya Tanzania Bara mapema kama wapinzani wao anaokutana nao wataendelea na…
Akianza kibarua cha kukinoa kikosi cha Yanga, kocha mkuu wa timu hiyo, Mbelgiji, Luc Eymael amempa jukumu zito kiungo mchezeshaji fundi Mnyarwanda Haruna Niyonzima la…
Nahodha na kiungo mkabaji wa Yanga, Mkongomani Papy Tshishimbi, huenda akakutana na msala kutoka kwa kocha mpya wa timu hiyo, Luc Eymael baada ya kupitiliza…
KATIKA kipindi cha siku 30 zilizopita Yanga wameitengeneza sura mpya ya kikosi chao baada ya kufanya usajili kabambe kwenye dirisha dogo la usajili. Kwanza walisajili…
Verified MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni shabiki wa Simba, Paul Makonda ameteuliwa kuwa Mshauri Mkuu wa Bodi ya Wakurugenzi.Taarifa hiyo…
SADALA Kipangwile, leo amekuwa nyota wa mchezo kwa KMC kwa kupeleka kilio mbele ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa…