LIVE FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI: MTIBWA SUGAR 0-0 SIMBA
Dakika ya 27 Kakolanya anaanzisha mashambulizi kwa KadoDakika ya 25 Simba wanapata faulo nje kidogo ya 18 inapigwa na ChamaDakika ya 24 Simba wabapata kona…
Dakika ya 27 Kakolanya anaanzisha mashambulizi kwa KadoDakika ya 25 Simba wanapata faulo nje kidogo ya 18 inapigwa na ChamaDakika ya 24 Simba wabapata kona…
MTIBWA Sugar jeshi lake lililoanza dhidi ya Simba lipo hivi
Kikosi cha Simba dhidi ya Mtibwa Sugar, mechi ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar.
LEO Jumatatu, Uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar kutakuwa na kazi moja tu kwa mashabiki wa mpira kushangilia timu zao za Simba na Mtibwa Sugar, ambazo…
MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka huu wa 2020 tamati yake itakuwa leo Jumatatu ambapo itacheza mechi ya fainali kwenye Uwanja wa Amaan uliopo…
LUC Eymael Kocha Mkuuwa Yanga, raia wa Ubelgiji na Riedoh Berdien, Kocha Msaidizi na viungo wameingia mkataba wa mwaka mmoja na miezi sita kuitumikia Yanga.Eymael…
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa wachezaji wake wote wana deni kutokana na kusema kuwa mechi ya Yanga ilikuwa ngumu kuliko ya…
PASCAL Wawa, beki wa Simba amesema kuwa leo watapmabana mbele ya Mtibwa Sugar kulitwaa kombe la Mapinduzi. Simba ilitinga hatua ya fainali kwa ushindi wa…
MBELGIJI wa Yanga, LUC Eymaela ameanza leo kuwapeleka kwa kasi wachezaji wake wa Yanga kwenye mazoezi yaliyofanyika Uwanja wa Polisi.Eymaela ameanza kukinoa kikosi hicho ambacho kinajiandaa…
NAHODHA Msaidizi wa Yanga, Juma Abdul amesema kuwa kutolewa kwao kwenye hatua ya nusu fainali na Mtibwa Sugar ni matokeo ya uwanjani na wala hawajaikimbia…