TSHABALALA AANZA JEURI SIMBA
Nahodha Msaidizi wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amesema ushindi wa mabao 3-1 walioupata dhidi ya JKT Tanzania, wiki iliyopita umerudisha morali kwa wachezaji hadi kwa…
Nahodha Msaidizi wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amesema ushindi wa mabao 3-1 walioupata dhidi ya JKT Tanzania, wiki iliyopita umerudisha morali kwa wachezaji hadi kwa…
Wakati Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama kupisha michezo iliyopo katika Kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Aussems ameendelea…
Uongozi wa Yanga umesema kuwa utawapatia wachezaji wake fedha ambazo zilikuwa kama motisha kuhakikisha wanaitoa timu ya Township Rollers ya Botswana.Uongozi huo uliahidi kiasi cha…
Mshindi wa Jackpot Bonus Barikiwa Akson Kasekwa akikabidhiwa hundi ya shilingi 7,187,699/= mara baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 12 kati ya 13 kwenye Jackpot…
MBWANA Samatta, nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa wachezaji wanatambua kazi kubwa ambayo wametumwa na Taifa kwa ajili ya kupeperusha bendera mbele…
Anaitwa Hawa Mayoka lakini wengi wanapenda kumuita Hawa Nitarejea. Mwanadada huyu amepitia wakati mgumu baada ya kuugua lakini Mungu akamsimamisha tena.Ukibahatika kuzungumza naye lazima atakuambia…
Kocha Mkuu wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems amesema kuwa anataka kuona timu yake inapata ushindi wa mabao kuanzia matatu hadi matano kwenye michezo ijayo ya…
MBEYA: INAUMA sana! Ni maneno ambayo mtu yeyote anayejua uchungu wa mtoto anaweza kuyatamka kutokana na mtoto Herieth Ismail mwenye umri wa miezi sita kuibwa…