Latest Posts

STRAIKA YANGA AMWAGIA SIFA KIBAO FALCAO

Amis Tambwe, juzi Jumatano alikuwa mbele ya runinga akiangalia mechi kati ya Yanga na Ruvu Shooting na ilivyoisha tu akaliambia Championi Jumamosi kuwa, David Molinga…

AJIBU AMRAHISISHIA KAZI KAGERE

Ibrahim Ajibu, nyota wa Simba aliyejiunga msimu huu akitokea Yanga ameweka wazi kuwa amejipanga kutoa asisti zaidi ya 17 alizotoa akiwa Yanga msimu uliopita na…

ZAHERA ATAJA IDADI YA SUTI ANAZOMILIKI

Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa ana suti zaidi ya pea 100 kabatini ambazo ataanza kutupia kila anapokuwa kwenye benchi la ufundi wakati…

KELVIN YONDANI AHUSISHWA SIMBA

Kocha wa Uganda aliyewahi kutamba na Simba, Jackson Mayanja anaamini kama Kelvin Yondani angekuwa kwenye ukuta wa timu hiyo asingekubali kudhalilishwa ndani ya Uwanja wa…