KMC WABADILI GIA ANGANI, SASA MAKALI YAO YAELEKEZWA HUKU
JACKSON Mayanja, Kocha Mkuu wa KMC amesema kuwa kwa sasa kikosi kinaelekeza nguvu zake kwenye michezo ya ligi kuu ambayo inaanza leo. Jana KMC ilipoteza…
JACKSON Mayanja, Kocha Mkuu wa KMC amesema kuwa kwa sasa kikosi kinaelekeza nguvu zake kwenye michezo ya ligi kuu ambayo inaanza leo. Jana KMC ilipoteza…
LEO Azam FC wana kazi moja tu mbele ya Fasil Kenema ya Ethiopia kutafuta ushindi wa mapema.Huu ni mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho…
Wakati kikosi cha Simba, kesho Jumapili kikitarajiwa kushuka uwanjani kucheza dhidi ya UD Songo ya Msumbiji, kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa timu hiyo, Mkenya, Francis…
MCHECHETO! Ndivyo utakavyoweza ni baada ya wapinzani wa Yanga, Township Rollers kupeleka maombi kwenye Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuomba kubadilishiwa uwanja kabla ya kukataliwa.Hiyo…
WAPINZANI wa Yanga, Township Rollers kutoka Botswana, watatumia kilevi cha pombe kama kishawishi cha kuwavutia mashabiki wao kujitokeza uwanjani kuisapoti timu yao itakapopambana.Timu hizo zinatarajiwa…
HUENDA huu ukawa msimu wa kipekee kwao licha ya kwamba, tayari wameshuhudia wakiyakosa mataji mawili kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20.…
Ni kama mtihani mzito kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera kutokana na ujio wa maboresho wa kanuni mpya za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)…
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, watakuwa na kibarua kingine cha mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya UD Songo, mechi itakayopigwa katika Uwanja wa Taifa,…
KIUNGO wa zamani wa Simba na Yanga, Haruna Niyonzima amesema kuwa hakuna timu yoyote yenye uwezo wa kuifunga Simba ikiwa inacheza kwenye Uwanja wa Taifa,…
Achana na presha waliyokuwa nayo wapinzani wao, Township Rollers ya Botswana, unaambiwa Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera amepanga kumaliza shoo ndani ya dakika…