MBUNGI YA AZAM vs YANGA KUPIGWA SIKU HII WIKI IJAYO
Mechi inayosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini la Yanga dhidi ya Azam FC iliyokuwa limepangwa kupigwa Jumatano ya Oktoba 25, imewahishwa mapema…
Mechi inayosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini la Yanga dhidi ya Azam FC iliyokuwa limepangwa kupigwa Jumatano ya Oktoba 25, imewahishwa mapema…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Kocha wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ ametamba kuwa uzoefu na ubora wa beki wake wa kati, Che Fondoh Malone utakuwa silaha muhimu kwa safu yake…
Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Miguel Angel Gamondi ametamba kuwa kurejea kwa baadhi ya wachezaji wake ambao walikosekana kwenye mchezo…
Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum Abdallah “Fei Toto’, ametuma ujumbe mzito kwa waajiri wake wa zamani Young Africans kuelekea mchezo wao wa Oktoba 25,…
Matokeo mabaya inayopata timu ya Geita Gold, yanadaiwa kuihamisha kutoka katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kwa mechi zitakazohusisha timu za Simba SC na Young…
Kikosi cha Yanga kimeendelea kujifua kwenye Uwanja wa Avic Town, Kigamboni, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mechi zijazo ikiwemo ya Ligi Kuu dhidi…
Wachezaji wa wa Azam FC hawataki kupoteza kwa mara ya pili dhidi ya Young Africans watakapokutana katika mchezo unaofuatia wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu…
Benchi la Ufundi la Young Africans, limeanza kukiandaa kikosi chao kuhakikisha kinakuwa bora kabla va kukutana na Azam FC, katika mchezo wa Mzunguuko wa sita…