YANGA HATARINI SIMBA YAPANIA USHINDI MWINGINE WA KIHISTORIA

0

LICHA ya kutoka sare mara mbili kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara na kuibuka na ushindi katika fainali ya Kombe la Muungano, Simba bado inaonyesha...

VITA YA KUSHUKA DARAJA YACHUKUA SURA MPYA MBEYA CITY

0

KOCHA Mkuu wa Mbeya City, Salum Mayanga, amesema timu yake haihitaji maneno mengi bali inapaswa kupambana kwa nguvu uwanjani ili kujinasua na hatari ya...

MLANDEGE YAFUFUKA YAITUPA ZIMAMOTO NAFASI YA SITA

0

KOCHA Mkuu wa Mlandege, Hassan Ramadhan 'Pele' amesema ushindi walioupata dhidi ya Zimamoto umefufua matumaini mapya ya timu hiyo kutetea taji lao la Ligi...

MBUNGE AMWOMBEA URAI CHAMA, BABA LEVO AGOMEA WAZEE

0

Mbunge wa Mlalo, Rashid Shangazi, ameiomba Serikali kumpa uraia wa heshima kiungo wa Simba SC, Clatous Chama akitaja mambo matatu. Shangazi ametoa kauli hiyo Bungeni...

YANGA WAONYESHA TABIA YA MABINGWA, PEDRO AWEKA WAZI MALENGO

0

KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amesema mwanzo wa mchezo wao na Sinba haukuwa mzuri kama walivyotarajia, lakini ameridhishwa na namna timu yake ilivyoonesha...

HAKUNA ANAYETAKA KUKUTANA NA SIMBA YA BARKER

0

KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, ameendelea kuwa gumzo miongoni mwa wadau wa soka kufuatia mabadiliko makubwa yaliyoonekana ndani ya kikosi hicho katika kipindi...

BURUDANI YA GATES OF HALLOWEEN INAKUJA KUCHUKUA NAFASI MERIDIANET

0

Vijana wa leo wanapenda burudani ya haraka, ya kisasa na yenye msisimko wa kweli. Ndiyo maana Meridianbet imekuja na Gates of Halloween, mchezo wenye...

ROMMY3D AWATAJA BACCA, DIARRA KAMA NGUZO MUHIMU YANGA

0

Baada ya dabi ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga iliyopigwa jana Jumapili kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo jijini Dar es Salaam kumalizika...

SIMANZI MBWA WA WEMA SEPETU MANUNU AMEKUFA AACHA GUMZO MITANDAONI

0

Tasnia ya burudani nchini imegubikwa na simanzi baada ya taarifa za kifo cha mbwa wa msanii wa Bongo, Wema Sepetu, aliyefahamika kwa jina la...

BARKER ATOA WIKI MOJA KUFUTA UONGOZI WA YANGA

0

KOCHA Mkuu wa Simba, Steven Barker, amesema bado wana nafasi kubwa ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara licha ya tofauti ya pointi...