PRESHA YA UBINGWA YAONGEZEKA KWA YANGA SC

0

KIKOSI cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, kinatarajiwa kuingia kambini Jumanne, Machi 31, 2026, kwa ajili ya kujiandaa na mfululizo wa...

TRICK OR TREAT BONANZA INAENDELEA KUWIKA IKILETA PESA NA BURUDANI

0

Kama unadhani burudani ya Halloween iliisha baada ya msimu kumalizika, basi bado hujaingia ndani ya Meridianbet. Hapa ndipo Trick or Treat Bonanza inaendelea kuwasha moto, ikiwapa...

RUKA NA SHINDA KILA SEKUNDE NA SUPER HELI PREMIUM KUTOKA MERIDIANBET

0

Meridianbet inakuletea Super Heli Premium, mchezo wa kasino unaochanganya kasi, ujasiri, na zawadi kubwa. Hapa, kila raundi ni safari ya msisimko, kila uamuzi ni...

MAGATA ATWISHWA ZIGO MTIBWA SUGAR

0

KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Mkenya Yusuf Chippo, amesema kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Fredrick Magata, ndiye chaguo lake la kwanza kikosini hapo katika...

EARLY PAYOUT KUKUPATIA NAFASI YA USHINDI HAPA

0

Ushindi mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo. Ingia kwenye akaunti yako...

YANGA YAPUMUA DUBE, BOKA, BACCA WARUDI VITANI

0

NYOTA wa Yanga SC, Prince Dube, Chadrack Boka pamoja na beki Ibrahim Abdullah maarufu kama Bacca, wamerejea uwanjani baada ya kupona majeraha yaliyokuwa yakiwasumbua. Wachezaji...

ADHABU YA DIARRA HAIYUMBISHI YANGA, KIKOSI KIKO IMARA

0

UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kuwa kufungiwa kwa kipa wao namba moja, Djigui Diarra, hakutaathiri ubora wa kikosi hicho kutokana na uwepo wa...

MECHI NNE KUMPA MZUKA BEIMBATA B19 FC

0

WAKATI Ligi ya Championship ikisimama hadi Aprili 17, 2026 kwa ajili ya mzunguko wa 22, kocha wa timu ya B19 FC, Twaha Beimbaya amesema...

RUNGU LA DIARRA NI LA KUMI NA TANO LIGI KUU

0

DJIGUI Diarra jana alitangazwa kufungiwa michezo mitatu na Bodi ya Ligi baada ya kuonyesha vitendo vya utovu wa nidhamu kwenye mchezo wa ligi dhidi...

JUMANNE CHALLE AANIKA, MCHAWI KENGOLD, AKIRI UGUMU KUREJEA LIGI KUU

0

KOCHA Mkuu wa KenGold, Jumanne Challe, amesema kukosa balansi katika eneo la kujilinda na ushambuliaji ndio sababu kubwa ya kikosi hicho kutokuwa na mwenendo...