PRISCILLA OJO SITAFSIRI MAONI YA WATANZANIA MTANDAONI
MUIGIZAJI na mwanamitandao maarufu wa Nigeria, ambaye ni mke wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Juma Jux, Priscilla Ojo ameweka wazi msimamo wake...
VITA YA UINGEREZA NA WAHISPANIA CONFERENCE LEAGUE KUAMULIWA UJERUMANI, REKODI ZIKIWEKWA
CRYSTAL Palace ya England, imeandika historia mpya ya klabu baada ya kuifunga Shakhtar Donetsk na kutinga fainali ya kwanza kabisa ya michuano ya Ulaya...
VILLA YAPINDUA MEZA KWA FOREST, KUIKABILI FREIBURG FAINALIEUROPA
ASTON Villa imezamisha matumaini ya Nottingham Forest ya kutinga fainali ya Europa League baada ya kuibuka na ushindi mkubwa wa mabao 4-0 uliowasogeza karibu...
MERIDIANBET MISSIONS KUGEUZA KILA HATUA KUWA MAENDELEO
Katika enzi ya burudani ya kidijitali inayobadilika kila siku, Meridianbet Missions imekuja na mfumo unaoipa michezo maana mpya. Hapa si kucheza kwa mazoea tu, bali...
NAMBA ZINAIKATAA KMC
IKIWA ipo mkiani mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara ikikusanya pointi tisa baada ya mechi 21, KMC sasa inaingia kwenye vita ya mwisho ya...
DAR CITY, PETRO DE LUANDA VITA YA KISASI BAL
DAR City inatarajiwa kucheza na Petro de Luanda ya Angola katika mechi ya robo fainali ya Basketball African League (BAL) ikitajwa itakuwa vita ya...
SIMBA YAIFUATA YANGA KMC COMPLEX, SABABU YATAJWA
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, wametangaza rasmi kuhama kutoka Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo uliopo Mbweni na kuhamishia michezo yao ya nyumbani kwenye Uwanja...
YANGA WAWEKA WAZI SABABU ZA KUMTIMUA PEDRO
UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi sababu za kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Pedro Gonçalves, ukieleza kuwa maamuzi hayo hayakutokana na...
SIRI YATOBOKA CHAMA KUFUNGA BAO LA HISTORIA KARIAKOO DABI
KIUNGO mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama amesema bao lake la kuvutia alilofunga kwenye dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga SC limekuwa gumzo kubwa...
CHAMA AKATA MZIZI WA FITINA SIMBA
KIUNGO mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama amesema wao kama wachezaji wataendelea kupambana hadi dakika ya mwisho kuhakikisha timu hiyo inapata ushindi katika kila...












