KISA KUGOMEA DABI…..YANGA HUENDA KIKAWAKUTA KILICHOWAKUTA MIAKA 60 ILIYOPITA…

0
Habari za Yanga leo

MECHI ya watani wa jadi, Yanga na Simba maarufu kama Dabi ya Kariakoo, imeota mbawa baada ya kuahirishwa na Bodi ya Ligi kwa sababu ya malalamiko ya Simba kuhusiana na sakata la kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya mchezo. Mchezo huo ulipangwa kufanyika Machi 8 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, ikiwa ni marudio katika duru la pili msimu huu...

KISA SIMBA…YANGA KULIPA MAMILIONI YA PESA FIFA….BARUA YATUA KWA MABOSI TFF….

0
Habari za Yanga leo

MASHABIKI wa Simba wanachekelea hatua ya mchezo dhidi ya Yanga kuahirishwa, wanawatambia wenzao wa Yanga, kwamba mechi itapangwa, mtapigiwa simu moja tu kutoka juu na mtacheza, lakini wasichojua ni kwamba Wananchi hawatanii na wamejipanga kwa vita mpya, wakikubali kutumia Sh121 milioni kuitafuta haki FIFA. Unaposoma taarifa hii tambua kwamba, Yanga imeshaweka kila kitu sawa kufungua kesi rasmi katika Mahakama ya...

NAFASI YA KUSHINDA IPO MERIDIANBET….ODDS ZA UHAKIKA LEO HIZI HAPA…

0
Habari za Simba

Mechi za kufuzu kombe la Dunia zipo leo na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Poland atamkaribisha kwake Malta ambao walipoteza mechi yao iliyopita, huku wenyeji wao wakishinda mechi ya kwanza. Takwimu zinaonesha kuwa timu hizi mara ya mwisho kukutana, mwenyeji aliondoka...

KWA BALAA HILI LA MPANZU HUKO SIMBA….BALUA AJITAFAKARI AISEEE….

0
Habari za Simba leo

EDWIN Balua alikuwa miongoni mwa wachezaji waliotarajiwa kung’ara ndani ya kikosi cha Simba SC msimu huu, hasa baada ya kuonyesha kiwango bora chini ya Juma Mgunda mwishoni mwa msimu uliopita 2023/24. Uwezo wake wa kucheza nafasi tofauti kwenye safu ya ushambuliaji ulimfanya awe mmoja wa wachezaji waliokuwa na nafasi nzuri ya kuendelea kung’ara. Hata hivyo, mabadiliko ya mfumo wa uchezaji...

MANULA YUKO WAPI SIMBA…? UKWELI WOTE WA MAMBO HUU HAPA…HAJATIA MGUU…..

0
HABARI ZA SIMBA- AISHI MANULA

YUKO wapi Manula? Kuna nini kinaendelea? Ni maswali yanayosumbua kwa sasa vichwani mwa mashabiki wa soka baada ya kipa huyo tegemeo wa timu ya Taifa kutoonekana uwanjani kwa muda mrefu. Baada ya kuwepo kwa tetesi za kipa Moussa Camara kuumia katika mechi dhidi ya Azam, wengi waliamini ilikuwa nafasi ya Manula kurudi langoni. Hata hivyo, katika pambano dhidi ya Coastal Union,...

KUWA MILIONEA NA MERIDIANBET PEKEE

0

Mechi kali za Mataifa Duniani leo hii zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Denmark baada ya kumpiga Portugal bao moja, leo hii atakuwa ugenini kuonesha ubabe wake tena mbele ya vijana hao ambao wapo chini ya kocha mkuu Roberto Martinez...

BODABODA WA KARIAKOO WANUFAIKA NA UJIO WA MERIDIANBET

0
Meridianbet

Meridianbet imeendelea na utaratibu wake kama kawaida wa kurejesha kwenye jamii kile kidogo ambacho wanakipata na safari hii walijikita kwenye kugawa Reflectors na helmet kwa bodaboda. Reflectors hizo wamezigawa kwa madereva wa bodaboda katika eneo la Kariakoo, kwaajili ya kuhamasisha usalama wa watumiaji wa barabara na kupunguza ajali za barabarani zinazotokana na mwonekano mdogo, hasa wakati wa usiku. Reflectors hizi zitawasaidia...

KUELEKEA MECHI YA CAF NA WAARABU….FADLU ATAJA ANAVYOVIHITAJI SIMBA….

0
Habari za Simba leo

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, ameweka wazi kuwa anataka kuona kikosi chake kinapata mabao ya ugenini katika mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry. Simba, ambao ni wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye michuano hiyo ya CAF, wanatarajiwa kuondoka nchini Machi 28 kuelekea Misri kwa ajili ya mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Aprili...

NAFASI YA USHINDI IPO HAPA….ODDS ZA UHAKIKA HIZI HAPA LEO…

0
Meridianbet

Mabingwa wa odds kubwa Tanzania wanakukaribisha Meridianbet uwe na moja wa watu ambao wanaweza kujiondokea na zaidi ya Mamilioni leo kwenye mechi za kufuzu Kombe la Dunia. Rwanda uso kwa uso dhidi ya Nigeria ambao wapo nafasi ya 5 huku mwenyeji wake yupo nafasi ya 2. Takwimu zinaonesha kuwa mara ya mwisho timu hizi kukutana, mwenyeji alishinda, hivyo leo hii...

PIGA MZIGO WA MAANA NA MECHI ZA NATIONS LEAGUE….

0
Meridianbet

Ni siku nyingine mpya ya fursa kwako wewe mteja wa Meridianbet wa kuchukua mavuno ndani ya Meridianbet. Mechi za Mataifa mbalimbali zinapigwa huku odds za kibabe zikiwa hapa. Ingia na ubeti sasa. Tukianza na Croatia yeye atakuwa uso kwa uso dhidi ya France, mabingwa wa kombe la Dunia 2018 na wanafainali wa WC 2022. Meridianbet wao wanampendelea Deschamps na vijana...