MYSTERY MULTIPLIER DROP KUBADILISHA MAISHA YAKO KUPITIA MERIDIANBET…
Wapenzi wa kasino mtandaoni wanashuhudia kampeni mpya ya kipekee kutoka Meridianbet, inayojulikana kama Mystery Multiplier Drop. Kampeni hii imeibua msisimko mkubwa kwani kila mzunguko unavyochezwa unaweza kuwa fursa ya ushindi wa moja kwa moja. Kutoka Agosti 25 hadi 31, kila mchezaji anayo nafasi sawa ya kushinda, bila kujali ukubwa wa dau lake. Meridianbet imewekeza zaidi ya TZS Bilioni 15 kwenye...
KINONDONI MANYANYA YAFURAHIA UJIO WA MERIDIANBET…
Ujio wa Meridianbet pale Kinondoni Manyanya umekuwa wa furaha sana kwa watu wenye ulemavu wa macho ambao leo hii Ijumaa wamefikiwa na kampuni ya ubashiri Tanzania na kupewa msaada wa fimbo za kutembelea maarufu kama (White Cane). Na safari hii, Meridianbet ilielekeza nguvu zake kwa kundi la watu wenye changamoto ya uoni, kwa kuwapatia msaada wa fimbo maalumu zinazojulikana kama...
KUELEKEA MSIMU MPYA ….FADLU AITILIA NGUMU CAF MAPEMAAH….AFUNGUKA ISHU YA ZNZ……
SIKU chache tu baada ya kupangiwa kucheza dhidi ya Gaborone United ya Botswana, Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, ameichambua timu hiyo, huku akiweka wazi kuwa tayari ameshawatuma watu wake ili kuwapeleleza wapinzani wao. Akizungumza nchini Misri, ambapo yuko na kikosi chake kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa mashindano, Fadlu alisema ameipokea droo iliyofanyika hapa nchini kwa uangalifu,...
WAKATI SIMBA WAKIIPIGA JICHO TAREHE 16…..MPANGO WA YANGA HUU HAPA….
KLABU ya Yanga imeanza mikakati kabambe ya kuhakikisha inapata ushindi katika mchezo wake wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani zao wa jadi, Simba, unaotarajiwa kupigwa, Septemba 16, mwaka huu, Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Arafat Haji, amesema juzi kuwa mipango na mikakati ya mechi hiyo imeshaanza ambapo lengo ni kupata ushindi ili kuendelea kulihifadhi...
BAADA ATEBA KUUZWA SIMBA…EDO KUMWEMBE ATUPA DONGO KWA FADLU….
LEONEL Ateba amepewa ‘thank you’ pale Msimbazi. Simba wamepata sehemu nzuri ya kutokea kwa Ateba. Hawana lawama naye kwa sababu wamemuuza kwenda katika klabu ya Al-Shorta ya Irak. Mabosi wa Simba watakuwa wanatabasamu pindi wanapotazama muamala wa Waarabu ulioingia kwenye klabu yao. Ndani ya mioyo ya mashabiki, wanachama na viongozi ni wazi kwamba Ateba alipaswa kuwa mchezaji wa kupisha njia...
MERIDIANBET KUKUPA NAFASI KUBWA YA USHINDI KUPITIA WIN&GO….
Wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni wanashuhudia fursa mpya ya kipekee kutoka Meridianbet. Wote waliosajiliwa na wale ambao bado hawajasajili, sasa wana nafasi ya kupata bonasi za beti za bure hadi 500 kila siku kwa kucheza mchezo maarufu wa Win&Go uliokuja na promosheni kabambe ya Non-Stop Win&Go Drop. Hii ni njia rahisi na ya kusisimua ya kuongeza nafasi za...
HUKO SIMBA VYUMA BADOOH…..MASHINE MPYA HII HAPA…IMECHEZA KOMBE LA DUNIA LA KLABU…
KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua jijini Cairo, Misri kujiandaa na msimu mpya wa mashindano, lakini kuna straika mmoja aliyesajiliwa hivi karibuni ametua jijini Dar es Salaam ili kuisubiri timu hiyo itakaporejea nchini kwa ajili ya Tamasha la Simba Day. Tamasha hilo la Simba litafanyika Septemba 10, siku chache kabla ya kucheza mechi ya Ngao ya Jamii kuzindua msimu wa 2025-2026...
VYA AZIZI KI VYAPATA MRITHI YANGA….MAYELE ATAJWA UPYAAAA….
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga Pacome Zouzoua pamoja na straika mpya, Andy Boyeli wameachiwa msala katika kikosi hicho kwa msimu wa 2025-2026. Pacome anayeitumikia Yanga kwa msimu wa tatu ameachiwa msala wa Stephane Aziz KI aliyetimkia Wydad Casablanca ya Morocco akiwa ameitumia pia kwa misimu mitatu akiifungia jumla ya mabao 39 katika Ligi Kuu. Aziz alifunga mabao tisa katika msimu wa kwanza...
TANDIKA JAMVI LAKO MECHI ZA LEO NA MERIDIANBET….
Jumatano ya Maokoto imewadia timu kibao zipo dimbani kuhakikisha huondoki patupu. ODDS za kibabe zipo Meridianbet sasa suka jamvi lako hapa kwenye mechi za Carabao Cup na za kufuzu UEFA. Mechi za kufuzu Ligi ya Mabingwa mechi za mwisho kupigwa leo Qarabag FK atamenyana dhidi ya Ferencvarosi Budapest ya Hungary huku mwenyeji yeye akiwa anakipiga kule Azerbaijan. Nafasi ya kushinda...
CARABAO CUP NDIO USHINDI WAKO NA MERIDIANBET…
Je unajua kuwa ushindi wako siku ya leo upo Meridianbet kwenye mechi za Carabao Cup?. Mechi kibao kupigwa kwenye viwanja mbalimbali huku timu hizo zikiwa na ODDS za kibabe. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. AFC Bournemouth atamenyana dhidi ya Brentford huku wote wakiwa wakipiga kule Uingereza. Mechi zote za msimu uliopita walipokutana, Nyuki waliondoka na ushindi. Je leo...