CHUKUA SAFARI YA BAHARINI NA PROMOSHENI YA “WILD WHITE WHALE” KUTOKA MERIDIANBET..

0
Meridanbet

Meridianbet, kwa kushirikiana na Expanse Studios, inakukaribisha kuingia katika ulimwengu wa ajabu wa baharini kupitia mchezo mpya wa sloti uitwao Wild White Whale. Kupitia promosheni hii ya kusisimua, cheza mizunguko 100 leo na upate mizunguko 50 ya bure kesho! Wild White Whale ni mchezo uliojaa mandhari maridadi ya baharini, michezo ya kuvutia, na fursa za ushindi mkubwa zitakazokufanya usisahau safari...

FEI TOTO KUREJEA JANGWANI…YANGA TUMBO JOTO…MASTAA MATATANI

0
Habari za Yanga leo

Yao kouassi, maarufu kama jeshi alianza kupona lakini inaelezwa amepata majanga mengine eneo alioumia linaweza kukaa njee kwa muda zaidi. Yanga ina subiri repoti ya madaktari wa klabu ilikufahamu mchezaji huyo atakua nje kwa muda gani, lakini nyuma yake kuna hesabu mpya zina pigwa juu ya beki mmoja wakazi kutoka Tp mazembe DRCongo. Endapo yao atashindwa kurudi licha ya kuonekana amacheza mpira...

MWAMBA HUYU HAPA….JAMAA KATUSUA MIL 57 KILAINIII NDANI YA MERIDIANBET…

0
Meridianbet

Furaha ilitawala kwa upande wa kijana mjasiriamali kutoka Tabata Shule baada ya kupokea simu kutoka Meridianbet kuwa ameweza kujishindia Milioni 57,099, 383 baada ya kubashiri mkeka wake wa timu 13 kwa dau la shilingi elfu 30 tuu. Milionea huyu aliamua kuchagua chaguo la MULTIGOALS ambapo hili unalipata ndani ya Meridianbet, na kama inavyojulikana kampuni hii ndiyo bingwa wa machaguo mengi...

20 IMPERIAL CROWN DELUXE KASINO MTANDAONI MPYA!!!….

0
Meridianbet

Mbele yenu ni mchezo mzuri wa kasino mtandaoni ambapo alama za matunda zitatawala. Lakini matunda sio pekee yatakayokukumbusha. Mashine hii ya matunda itakuletea machache mazuri ya kushangaza. Njoo ujifurahishe kupitia mchezo huu huku ukipata beti za bure ukicheza moja kati ya michezo ya kasino mtandaoni ya Meridianbet inayopendwa zaidi. 20 Imperial Crown Deluxe ni kasino mtandaoni inayotolewa na Green Tube...

WAKATI SIMBA WAKICHANGA NOTI ZA KUMNG’OA…..YANGA WAMWITA PACOME CHAP CHAP…

0
Habari za Yanga leo

NYOTA wa Yanga SC Pacome Zouzoua inaelezwa kuwa ameitwa na mabosi wa timu hiyo ili kujadili kuhusu kuongeza mkataba kuendelea kusalia ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi. Pacome ni chaguo la kwanza la Hamdi ambapo kwenye msimu wa 2024/25 kacheza jumla ya mechi 23 Pacome kahusika kwenye mabao 18 akiwa kafunga mabao 9 na kutoa pasi...

BAADA YA CAS ‘KUWABANIA’…HII HAPA ‘TURN OUT’ YA KIBABE YA YANGA KUHUSU MECHI NA SIMBA

0
Habari za michezo

KLABU ya Yanga imetangaza rasmi  Jumatatu hii kutoshiriki mechi yao dhidi ya watani wa jadi Simba SC, ikiwa ni sehemu ya kupinga kile walichokiita "dhulma na uvunjwaji mkubwa wa kanuni" katika uendeshaji wa soka nchini. Taarifa rasmi iliyotolewa kwa umma, Yanga imethibitisha kuwa imepokea majibu kutoka Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) kuhusu kesi yao namba CAS 2025/A/11298,...

KUELEKEA MECHI YA FAINAL CAF….AHMED ALLY AIBUKA NA ‘MZUKA’ HUU KWA WAARABU…

0
HABARI ZA SIMBA

KATIKA kilele cha mafanikio ya kihistoria, Meneja wa klabu ya Simba, Ahmed Ally, ameweka wazi kuwa safari yao kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika bado haijakamilika licha ya kufuzu kwa mara ya pili kwenye fainali ya michuano hiyo. Simba iliingia fainali baada ya ushindi wa jumla wa bao 1-0 dhidi ya Stellabocsh FC, uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar...

FT:- JKT 0-1 SIMBA SC……NGOMA AFANYA KILICHOMSHINDA KIBU….TIZI LA CAF LANOGA….

0
Habari za Simba leo

BAO la kiungo Fabrice Ngoma alilofunga katika dakika za nyongeza kipindi cha kwanza, limetosha kuipa Simba ushindi wa 0-1 dhidi ya JK Tanzania na kujihakikishia nafasi kubwa ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao ikifikisha pointi 63 ikiwafuata watani zao wa jadi, Yanga. Kipindi cha kwanza Simba ilionekana kuhitaji bao la kuongoza ikiliandama lango la JKT Tanzania,...

SHINDA KIRAHISI NA CASINO YA GATES OF OLIMPIA NDANI YA MERIDIANBET….

0
Meridianbet

Meridianbet inayo furaha kubwa kutangaza uzinduzi wa mchezo mpya wa slot unaochukua wachezaji katika safari ya kimungu isiyosahaulika. “Gates of Olimpia”, kazi mpya ya kipekee kutoka kwa Expanse Studios, sasa inapatikana kwa wateja wa Meridianbet pekee. Ikiwa katika dunia ya hadithi za Kigiriki, Gates of Olimpia huleta uhalisia wa miungu wa kale kupitia picha za kuvutia, mizunguko yenye kasi, na...

TAJIRIKA NA ODDS ZA MERIDIANBET…USHINDI NI UHAKIKA …

0
Meridianbet

Je unajua kuwa siku hii ya leo ni rahisi sana wewe kutajirika ukiwa na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet kwani mechi kibao za leo zina odds kubwa hivyo ni rahisi kutajirika. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Meridianbet leo hii walianza kuiangazia ligi kuu ya Italia yaani SERIE A ambapo Monza atakiwasha dhidi ya Atalanta ambao wapo nafasi ya...