ROBERTINHO AFURAHISHWA NA MASTAA HAWA MECHI YA JANA
Kocha wa Simba Oliveira Robertinho amefurahishwa na namna ambavyo wachezaji wake walipambana jana licha ya kuondolewa kwenye michuano. Simba jana ilikuwa mgeni wa Al Ahly…
Kocha wa Simba Oliveira Robertinho amefurahishwa na namna ambavyo wachezaji wake walipambana jana licha ya kuondolewa kwenye michuano. Simba jana ilikuwa mgeni wa Al Ahly…
Kocha wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ ameweka heshima kwenye soka la Tanzani hadi sasa akiiongoza timu hiyo kwenye mechi 16 za Ligi Kuu Bara bila…
Kwa sasa mashabiki wa Simba wako katika kilele cha furaha kutokana na kiwango ambacho kinaonyeshwa na Kiungo Mkongomani Fabrice Ngoma tangu atue hapo Unyamani. Fabrice…
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kupitia East Africa Radio, Abissay Stephen amesema kuwa Klabu ya Soka ya Simba Sc ina mtu mmoja tu ambaye…
KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema anataka kuona timu yake ikipata ushindi wa mabao mengi zaidi, huku akipanga kutengeneza muunganiko wa safu…
MABAO mawili ya Simba yaliyofungwa na Willy Onana na Fabrice Ngoma yametosha kufuta uteja kwa Simba kushindwa kupata matokeo mbele ya marais wa nchi wakishinda…
Kiungo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Fabrice Ngoma ni wazi amewaweka mtegoni viungo Sadio Kanoute na Mzamiru Yassin katika vita ya kuwania nafasi…
WAKATI Simba wakiwa nchini Uturuki kwenye maandalizi ya msimu ujao wa 2023/24, taarifa njema ni kuhusiana na kiungo wao mpya, Fabrice Ngoma ambaye unaambiwa anawapa…
Kocha Mkuu wa Simba SC, Olviera Robert ‘Robertinho’ amemwambia kiungo wake mshambuliaji Mkongamani, Fabrice Ngoma anataka kumuona akiifanyia makubwa klabu hiyo, katika Ligi ya Mabingwa…
WAKATI Clatous Chama na Fabrice Ngoma wakiinogesha kambi ya mazoezi ya Simba iliyopo Uturuki baada ya mastaa hao kutimba juzi wakitokea Dar es Salaam, nyota…