FADLU AMPA MAZOEZI MAALUM KIJILI…MWENYEWE AFUNNGUKA
NI MASAA machache yamebaki Simba kushuka kwenye Uwanja wa Juni 11, jijini Tripoli Libya kuvaana Al Ahli Tripoli, kocha wa kikosi hicho cha Msimbazi, Fadlu…
NI MASAA machache yamebaki Simba kushuka kwenye Uwanja wa Juni 11, jijini Tripoli Libya kuvaana Al Ahli Tripoli, kocha wa kikosi hicho cha Msimbazi, Fadlu…
BAO moja lililofungwa na Prince Dube dakika 45 kipindi cha kwanza dhidi ya CBE SA ya Ethiopia lilitosha kuitanguliza Yanga mguu mmoja mbele katika hatua…
Hakuna Ubishi kwamba Yusuph Kagoma alikua na mkataba na timu yake ya Singida Fountain Gate. Hivyo ilibidi ufanyike uhamisho kwa kumnunua kwenda timu nyingine yeyote.…
Kipa wa Simba, Moussa Camara ‘Spider’ alikuwa katika benchi wakati taifa lake la Guinea likiachia pointi tatu mbele ya Taifa Stars, lakini akaondoka na lile…
Wachezaji wa Simba wanafahamu hesabu zilizopo kwao hivi sasa ni kuanza vizuri ugenini dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya kisha kumaliza kazi nyumbani na…
Makocha wa Yanga na Simba, Miguel Gamondi na Fadlu Davids, pamoja na mabenchi yao ya ufundi, wanajipanga kwa umakini mkubwa kuhakikisha wanatimiza matarajio ya mashabiki…
WAGOSI wa Kaya Coastal Union imekana kutaka kumrudisha kocha wake wa zamani, Juma Mgunda ili kukinoa kikosi hicho. Afisa Habari wa Klabu hiyo, Abbas El…
WAKATI kikosi cha Simba kikiwasili jana jijini Tripoli Libya kwa ajili ya mchezo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al…
“Nimemsikiliza vyema mwanasheria wa Fountain Gate. Kimsingi nimependa sana jamaa amechagua kuwa mwaminifu.” “Kimsingi amethibitisha kuwa mkataba baina ya Yanga na Fountain Gate upo tofauti…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapinzani wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika sio wanyonge hivyo watawakabili kwa tahadhari kupata matokeo chanya kwenye mchezo unaotarajiwa…