SIMBA YAICHAPA 2-0 TIMU YA TURKMENISTAN MECHI YA KIRAFIKI LEO
MABAO ya Kibu Dennis na Nahodha, John Raphael Bocco yameipa Simba SC ushindi wa 2-0 dhidi ya Turan FK ya Turkmenistan katika mchezo wa kirafiki…
MABAO ya Kibu Dennis na Nahodha, John Raphael Bocco yameipa Simba SC ushindi wa 2-0 dhidi ya Turan FK ya Turkmenistan katika mchezo wa kirafiki…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa usajili ambao wameufanya msimu huu unastahili kwao kufanya vyema msimu ujao haswa kuyarudisha mataji yote ambayo wameyapoteza kwa misimu…
Kiungo Mshambuliaji wa Simba SC, Kibu Denis amejihakikishia nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza cha msimu ujao, licha ya maingizo mapya ya wachezaji wanaocheza…
WAKATI kikosi cha Yanga kikianza ratiba ngumu ya maandalizi baada ya kukamilika winga mpya wa timu hiyo Mahlatse Makudebela maarufu Skudu, amesema anataka kuwaona Simba…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Kocha Mkuu wa Simba SC, Oliveira Roberto ‘Robertinho’ amesema ameanza kuridhishwa na kiwango cha mastaa wake, huku wapinzani wao kwenye Simba Day wakiwekwa hadharani. Simba…
Aliyekuwa Kiungo Mshambuliaji ‘Winga’ wa Simba SC Pape Ousmane Sakho amemshukuru Mshambuliaji wa Mabingwa wa Soka nchini Ujerumani FC Bayern Munich, Sadio Mane kwa kumtafutia…
Nahodha msaidizi wa Simba, Mohamed Hussien ‘Tshabalala’ amerahisishiwa kazi ya kupata namba kikosini baada ya timu hiyo kuachana na mpango wa kusajili beki mwingine wa…
KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ tayari amerejea kambini kwa chama hilo nchini Uturuki akitokea kwenye kozi fupi iliyofanyika Brazil huku akitua na faili…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa siku ya Simba Day ni sikukuu hivyo hawapangi viingilio vikubwa kuwakomoa mashabiki wao. Agosti 6 ni Simba Day ikiwa…