MASTAA YANGA WAANZA KUMCHANGANYA GAMONDI MAPEMAAAA
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia Argentina, amefichua kuwa, licha ya kucheza michezo ya ndani ya kirafiki, lakini bado hajapata muunganiko mzuri kwa wachezaji…
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia Argentina, amefichua kuwa, licha ya kucheza michezo ya ndani ya kirafiki, lakini bado hajapata muunganiko mzuri kwa wachezaji…
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ana kazi kubwa ya kufanya kutokana na vita kali iliyopo kwenye eneo la kiungo mshambuliaji kati ya Stephane Aziz…
Baada ya Yanga kuhitimisha ‘Kilele cha wiki ya Mwananchi’, sasa ni zamu ya wapinzani wao Simba nao pia kuja na tamasha la ‘Simba Wiki na…
Kocha wa AS Vita ya DR Congo, Roul Shungu amesifu usajili mpya wa Kiungo Mshambuliaji mpya wa Young Africans, Maxi Zengeli akitamka kuwa timu hiyo,…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
KOCHA mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amefichukua licha ya kucheza michezo ya ndani ya kirafiki lakini bado hajapata muunganiko mzuri kwa wachezaji wake akiwemo kiungo…
MECHI ya Ngao ya Jamii ni kiashiria cha kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu katika mataifa mengi huku Tanzania ikiwa ni miongoni mwao. Msimu…
KATIKA kuhakikisha anakuwa bora na fiti zaidi, Kocha na Daktari wa Viungo wa Yanga, Mtunisia Youssef Ammar amepewa jukumu ya kumfanyisha programu ya binafsi kiungo…
HUKU kikosi chake kikiendelea na maandalizi ya kabla ya msimu ‘pre season’ kwenye kambi yao ya AVIC Town Kigamboni, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi…
KAMA ulitarajia kuiona Yanga popote kabla msimu haujaanza, umeumia. Kocha Miguel Gamondi amefuta uwezekano wa kuwepo kwa mechi yoyote ya kirafiki kubwa ambayo itahusisha mashabiki.…