Uncategorized

BAADA YA STARS KUTANGAZA KIKOSI CHA MAANGAMIZI JANA, UGANDA NA KENYA NAO HAWA HAPA

admin June 12, 2019 9:36 am


Timu ya taifa ya Kenya na Uganda wametangaza vikosi vyao vya wachezaji 23 vitakavyoshiriki fainali za mataifa ya Afrika 2019 nchini Misri.

Kenya wapo Kundi C na timu za Tanzania, Algeria na Senegal ambapo wao walikuwa nchini Ufaransa kuweka kambi ya maandalizi wakati ambo wenzao Algeria wakiwa Doha Qatar, Senegal wakiwa Hispania wakati Tanzania wakiwa nchini Misri.

Jezi za taifa stars kuzinduliwa leo YANGA YAFANYA MAAMUZI MENGINE KUHUSU AJIBU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply