Uncategorized

HIKI NDICHO KILICHOMPONZA CHIRWA, SINGANO, LYANGA KUPIGWA CHINI AZAM FC

admin June 19, 2019 7:41 am


IMEELEZWA kuwa sababu kubwa ya kocha Ettiene Ndayiragije kuwatema wachezaji nane wa kikosi hicho ni pamoja na kutoridhishwa na uwezo wa wachezaji hao pamoja na nidhamu.

Azam FC leo wanaingia kambini rasmi kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Kagame inayotarajiwa kuanza mwezi Julai nchini Kagame wakiwa ni mabigwa watetezi.

Wachezaji hao ni pamoja na Obrey Chirwa ambaye tangu mwanzo aligoma kuongeza mkataba hali iliyofanya aachwe kwa kigezo cha nidhamu moja kwa moja huku Tafadzwa Kutinyu yeye akiwa amepata mkataba wa kukipiga Horoya FC.

 Ramadhan Singano, Steven Kigue, Hassan Mwasapili,  Daniel Lyanga, Joseph Kimwaga, Enock Atta hawa wote mikataba yao imemalizika na kocha hakukubali kuwaongezea mkataba.

JIPYA LAIBUKA JUU YA USAJILI WA BWALA SIMBA TAZAMA MAUFUNDI YA MASHINE MPYA ILIYOTUA YANGA HAPA – VIDEO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply