Uncategorized

MATOLA WA POLISI TANZANIA KUIBOMOA YANGA NA LIPULI

admin June 28, 2019 10:33 am

BEKI wa Yanga, Haji Mwinyi, huenda akatua Polisi T

anzania iliyo chini ya Suleman Matola ambaye amesaini kandarasi ya mwaka mmoja.

Mwinyi kwa sasa yupo huru kusaini na timu yoyote baada ya mkataba wake kumalizika ndani ya Yanga.

Pia imeelezwa kuwa Polisi Tanzania ya Matola ina mpango wa kumsajili beki wa Lipuli, Haruna Shamte ambaye ni fundi wa kupiga mipira iliyokufa ambapo ana mabao matatu aliyofunga kwenye michuano ya kombe la Shirikisho.

DIDA NAYE MGUU NJE NDANI SIMBA, ATAJWA KUIBUKIA NAMUNGO BREAKING; SIMBA YASAJILI WABRAZIL WATATU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply