Uncategorized

KISA BEKI, MABOSI SIMBA WAISHINDWA YANGA

admin June 6, 2019 9:00 pm


MABOSI wapya wa Yanga wamefanikisha mipango ya kumuongezea mkataba wa miaka mitatu beki wake, Gadiel
Michael ambaye ilikuwa kiduchu tu asaini Simba.

Dau alilowekewa mezani beki huyo lilikuwa ni Shilingi Milioni 40 na mshahara wa Milioni tatu. 

Habari za uhakika zinasema kuwa ni kwamba beki huyo wamefikia makubaliano na viongozi wa timu hiyo na wamemhakikishia mambo mazuri yanakuja akae mkao wa kula.

Mmoja wa viongozi wa Yanga, Fredrick Mwakalebela licha ya kutoweka wazi lakini alisisitiza kwamba kila kitu freshi Wanayanga watulie wanasuka chama la maana.

Gadiel ni miongoni mwa wachezaji wenye umri mdogo waliofanya vizuri na Yanga msimu uliopita. Habari zinasema kwamba Simba walishamseti lakini akawaambia ataendelea kubaki Yanga

CHIRWA AIFANYIA MAAMUZI MENGINE YANGA KOCHA SIMBA KUIBUKIA TIMU NYINGINE LIGI KUU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply