Uncategorized

IKIBAINIKA KWELI, R KELLY KUFUNGWA MIAKA 195

admin August 5, 2019 10:31 am


MSANII nguli duniani wa miondoko ya R N B, R. Kelly anayekabiliwa na mshitaka 13 ya unyanyasaji wa kingono huenda akafungwa miaka 195 endapo atapatikana na hatia.

R . Kelly anatarajia kupandishwa kizimbani tena Septemba 14, baada ya siku jana kusomewa mashitaka hayo 13 yakiwemo kunyanyasa, kudhalilisha, na kushambulia wanawake kingono pamoja na kuwarekodi watoto wadogo picha zisizokuwa na maadili.

KIKOSI KAMILI CHA KMC MSIMU WA 2019/20 SIMBA HAWANA DOGO, WALIANZISHA TENA KISA MTINDO WA UTAMBULISHO WA YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply