Uncategorized
HIZI HAPA 10 KUFUNGULIA LEO VPL
LEO Vodacom Premier League inarejea mabapo timu kumi zitashuka uwanjani kuanza kutupa kete zao za kwanza msimu mpya wa mwaka 2019/20
Namungo v Ndanda FC uwanja wa Majaliwa
Mbao v Alliance uwanja wa CCM Kirumba
Mbeya City v Tanzania Prisons, Uwanja wa Sokoine
Polisi Tanzania v Coastal Union, Uwanja wa Ushirika
Biashara United v Kagera Sugar, Uwanja wa Karume, Musoma.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.