Uncategorized

TANZIA: MKE WA NAHODHA WA AZAM FC AGREY MORIS ATANGULIA MBELE ZA HAKI

admin January 11, 2020 8:08 am


TAARIFA ya Tanzania kutoka kwa Uongozi wa Azam FC leo ipo namna hii:-

Azam FC tumepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha mke wa Nahodha wetu, Agrey Moris, aliyefariki dunia jana jioni wakati akiwa kwenye harakati za kujifungua.

Tunatoa salamu zetu za pole kwenda kwa familia ya Moris, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki na wote walioguswa na msiba huo.

Azam FC tunaungana na familia ya marehemu na tunamuomba Mwenyezi Mungu, awajalie nguvu na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu.

Bwana ametoa na Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Amen.

RASMI SAMATTA AAGA GENK, TIMU ENGLAND YATAJWA XAVI KUPEWA DILI LA KUINOA BARCELONA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply