Uncategorized

MO ATOA TAMKO LINGINE JIPYA NDANI YA SIMBA BAADA YA KUPOTEZA KOMBE LA MAPINDUZI

admin January 14, 2020 8:57 am

BAADA ya jana kupitia ukurasa wake wa kijamii kuandika kwamba anaondoka kwenye nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba kutokana na timu hiyo kupoteza mchezo wa fainali kwa kufungwa bao 1-0 na Mtibwa Sugar leo Mo amekuja na maamuzi haya kwamba ilikuwa bahati mbaya ilitokea kwenye akaunti yake 

BENO KAKOLANYA KATUZIDI NAMNA YA KUFIKIRI KUHUSU MANULA POLISI TANZANIA YAMDAKA KIPA WA SIMBA, YAMPA MWAKA MMOJA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply