Uncategorized

POLISI TANZANIA YAMDAKA KIPA WA SIMBA, YAMPA MWAKA MMOJA

admin January 14, 2020 9:27 am


MANYIKA Peter Manyika ambaye ni mlinda mlango amekamilisha dili lake la kujiunga na Polisi Tanzania kwenye usajili wa dirisha dogo unaotarajiwa kufungwa kesho, Januari 15, saa sita usiku.

Manyika amesaini kandarasi ya mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo ya Polisi Tanzania iliyo chini ya Malale Hamsini.

Kabla ya kujiunga na Polisi Tanzania, Manyika alikuwa anakipiga ndani ya klabu ya KCB ya Kenya pia aliwahi kuichezea timu ya Simba na Singida United alipokuwa Bongo.

MO ATOA TAMKO LINGINE JIPYA NDANI YA SIMBA BAADA YA KUPOTEZA KOMBE LA MAPINDUZI MRITHI WA MAYANJA NDANI YA KMC HUYU HAPA, AANZA KAZI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply