Uncategorized

EYMAEL WA YANGA AZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA RUVU SHOOTING NAMNA HII

admin February 8, 2020 7:14 am

LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa leo vijana wake watapambana kuzipata pointi tatu za Ruvu Shooting.

Yanga inashuka Uwanja wa Uhuru kumenyana na Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara majira ya saa 10:00 jioni.

Eymael amesema;” Mazoezi ambayo wameyafanya yanawapa nguvu ya kupambana, tunatambua kwamba utakuwa mchezo mgumu kwetu ila tutapambana kupata pointi tatu, mashabiki wajitokeze kwa wingi kutupa sapoti,”.

Mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Uhuru, Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 lililofungwa na Sadat Mohamed hivyo mchezo wa leo utakuwa ni wa kukata na shoka.

SIMBA WATOA TAMKO KUHUSU KICHAPO CHAO CHA PILI NDANI YA LIGI BAADA YA KICHAPO, MBELGIJI SIMBA AONDOKE TU, NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply