Uncategorized

MESSI: TULICHELEWA KUKATWA MSHAHARA

admin March 31, 2020 6:21 am

LIONEL Messi nahodha wa Barcelona, amesema kuwa jambo la wachezaji kukatwa mshahara limechelewa kufanyika kwa sababu wachezaji walikuwa wanapambana kuisadia klabu pamoja na kuwasiaidia wale walioathirika.

Hatua hiyo ya kukatwa mshahara huo ni kwa ajili ya kuwachangia wafanyakazi wa Barcelona kulipwa mshahara pamoja nakuwasaidia waathirika wa Virusi vya Corona.

Uongozi wa Barcelona umekubaliana kuwakata wachezaji  asilimia 70 ya mishahara.

Messi,amesema:- “Kwetu wakati umefika, tutakatwa asilimia 70 ya mishahara yetu katika kipindi hiki. Pia tutaisaidia klabu ili wafanyakazi wengine walipwe asilimia 100 ya mishahara yao nadhani suala hili lilichelewa,” .

AISHI MAULA ALIKUBALI BAO ALILOFUNGWA NA MORRISON UWANJA WA TAIFA MEDDIE KAGERE: NINAIPENDA KAZI YANGU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply