Uncategorized

NIYONZIMA AWAPA SOMO HILI WACHEZAJI

admin April 6, 2020 11:02 am

HARUNA Niyozima, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa ni busara kwa wachezaji kufanya mazoezi wakati huu wa mapumziko na kujilinda dhidi ya Virusi vya Corona.

Niyonzima amekuwa kwenye ubora wake msimu huu baada ya kurejea ndani ya Yanga licha ya kutumia muda mfupi amepata nafasi kikosi cha kwanza baada ya kujiunga na klabu hiyo kwenye usajili wa dirisha dogo akitoa AS Kigali ya Rwanda.

Akizungumza na Saleh Jembe, Niyonzima amesema kuwa:”Ni muhimu kwa kila mchezaji kufanya mazoezi akiwa nyumbani na kuchukua tahadhari ya kujilinda na Virusi vya Corona.

“Ubora wa mchezaji unabebwa na mazoezi pamoja na kujituma bila kuchoka, jambo la kuzingatia pia kuchukua tahadhari ya Virusi vya Corona,”.

NONDO WA COASTAL UNION AWAKUBALI MABEKI HAWA BONGO MO RASHID SASA DOZI YAKE NI KUTWA MARA MBILI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply