Uncategorized

NYOTA WA KARIOBANGI AKUBALI KUTUA YANGA KIROHO SAFI

admin April 19, 2020 8:29 am


YIDAH Sven kiungo anayekipiga ndani ya Klabu ya Kariobangi Sharks amesema kuwa yupo tayari kuibukia ndani ya Klabu ya Yanga iwapo utaratibu utafuatwa.

Mkataba wa nyota huyo anayekipiga nchini Kenya unameguka msimu huu pale ligi inapomeguka.


Sven amekuwa akihusishwa kujiunga na Klabu ya Yanga yenye maskani yake mitaa ya Karikaoo.

“Mkataba wangu ndani ya klabu yangu hapa unameguka msimu utakapoisha ila ikitokea klabu ya Yanga ikafuata utaratibu nipo tayari kujiunga nayo kwani kazi yangu mimi ni mpira,” amesema.

AZAM FC YAKUMBUMBUKA TAJI LAO LA KWANZA NDANI YA LIGI KUU BARA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA MIAKA SITA WAGENI HAWA NI VINARA KWA KUTUPIA KWENYE TIMU ZAO NA WANA HAT TRICK PIA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply