Uncategorized

LIGI KUU BARA KUREJEA MWEZI JUNI, KUCHEZWA BILA MASHABIKI

admin May 4, 2020 6:50 am


ALMAS Kasongo, Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) amesema kuwa wanakwenda kuifanyia kazi kauli ya Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli.


Jana, Aprili 3, Magufuli alisema kuwa anafikiria kurejesha ligi za Tanzania ambazo zilisimamishwa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona.

 Kasongo amesema Kamati ya Uongozi ya TFF imeazimia kuwa ligi iendelee kulingana na maelekezo ya Serikali na mechi zitachezwa bila mashabiki kuanzia mwezi Juni mwaka huu.


MLINDA MLANGO MRUNDI AINGIA ANGA ZA AZAM FC WINGA AS VITA: NIMEFANYA MAZUNGUMZO NA YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply